Mabachela!....

Mabachela!....

Mm uwa naratiba yangu ya kufanya shughuli zangu za ndani mwangu lakini kitu kinachoniumiza kichwa Nile nn? Kiukweli hicho kinanishinda natamani cku zote niwe ofsini, nikiwa home naweza tokea asbh mpaka jioni cjuw nakula nn
we umetisha hadi chakula kinakupa mawazo
 
Kiukwel mm nimepanga nyumba nzima sina cha mpenzi wala mtarajiwa ss kuosha vyombo ndio shughuli na kufanya usafi hapa nilipo leo nimefungua jikoni kunatisha na pia maji hakuna hata tone yaani ubachala ninoma jamani nishajikanyaga nitapata wapi maji zaidi ya kujitukana mwenyewe ndio kilichobaki

Kwa hizi shida za ubachala na shughuli za ndani hakiri itanikaa vizuri
Fanya kazi acha kumtegemea mtu,
 
Back
Top Bottom