Mabachela!....

Mabachela!....

b191

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
742
Reaction score
1,032
Habari wana-JF

Katika u-bachela nimekumbuka mambo ambayo nilikuwa naona uvivu sana kuyafanya kama vile;

1. Uvivu wa kufua Shuka, yaani shuka sifui au kubadilisha hadi siku nina ahadi na kamanzi au baada ya kufanya dyu.. dyu... ndo natoa shuka kwa ajili ya kufua.

2. Kufua Soksi, huu ni mtihani mkubwa pia. Maana unakuta hadi zinatoa harufu Kali. Kuna wakati nilikuwa navulia viatu nje na kunawa miguu ili kuondoka harufu ndani.

Kama wewe ni bachela au ulishawahi kupitia ubachela ongezea mambo ambayo ulikuwa unaona uvivu kuyafanya.
 
Yaani uvivu wa kufanya hizi kazi ndogo² ndio kikwazo
 
Kiukwel mm nimepanga nyumba nzima sina cha mpenzi wala mtarajiwa ss kuosha vyombo ndio shughuli na kufanya usafi hapa nilipo leo nimefungua jikoni kunatisha na pia maji hakuna hata tone yaani ubachala ninoma jamani nishajikanyaga nitapata wapi maji zaidi ya kujitukana mwenyewe ndio kilichobaki

Kwa hizi shida za ubachala na shughuli za ndani hakiri itanikaa vizuri
 
kupika mchana aiseee ni shidah
funga kaz baada ya kupika unatakiwa kuosha vyombo dah hapa ndo shughuli yan nikikua naviacha vyombo mpaka vya siku 3-4 ndo nakuja kuviosha

kufua mashuka dah mm hii kaz ilinishnda kila mwishi wa mwez nilikua nayapeleka kwa dobi
soksi kufua lawama hz kila baada ya wiki mbili nna bajeti ya pair mpya ya soksi
 
Habari wana-JF

Katika u-bachela nimekumbuka mambo ambayo nilikuwa naona uvivu sana kuyafanya kama vile;

1. Uvivu wa kufua Shuka, yaani shuka sifui au kubadilisha hadi siku nina ahadi na kamanzi au baada ya kufanya dyu.. dyu... ndo natoa shuka kwa ajili ya kufua.

2. Kufua Soksi, huu ni mtihani mkubwa pia. Maana unakuta hadi zinatoa harufu Kali. Kuna wakati nilikuwa navulia viatu nje na kunawa miguu ili kuondoka harufu ndani.

Kama wewe ni bachela au ulishawahi kupitia ubachela ongezea mambo ambayo ulikuwa unaona uvivu kuyafanya.
Wewe ni au ulikuwa mchafu tu. Kufua nguo zako au shuka hakuna uhusiano wowote na mahusiano.

Mimi ni msafi sana hata nikikaribisha mtu haamini kama naishi mwenyewe.
 
Nope..!Ubachela mtamu sana asa kama unajielewa karubuni mazee
 
Habari wana-JF

Katika u-bachela nimekumbuka mambo ambayo nilikuwa naona uvivu sana kuyafanya kama vile;

1. Uvivu wa kufua Shuka, yaani shuka sifui au kubadilisha hadi siku nina ahadi na kamanzi au baada ya kufanya dyu.. dyu... ndo natoa shuka kwa ajili ya kufua.

2. Kufua Soksi, huu ni mtihani mkubwa pia. Maana unakuta hadi zinatoa harufu Kali. Kuna wakati nilikuwa navulia viatu nje na kunawa miguu ili kuondoka harufu ndani.

Kama wewe ni bachela au ulishawahi kupitia ubachela ongezea mambo ambayo ulikuwa unaona uvivu kuyafanya.
Ujinga tuu na asili ya mtu
 
Hapana mkuu, maana nguo nyingine nilikuwa nafua. Tena ilikuwa siwezi kuvaa Nguo zaidi ya siku mbili.
Kuvaa tu nguo siku mbili ni uchafu pia.. So hiyo ilikua ndo tabia yako
 
Mm uwa naratiba yangu ya kufanya shughuli zangu za ndani mwangu lakini kitu kinachoniumiza kichwa Nile nn? Kiukweli hicho kinanishinda natamani cku zote niwe ofsini, nikiwa home naweza tokea asbh mpaka jioni cjuw nakula nn
 
Vp ushaoa? Kwa staili Hii Bila Shaka wale Ex wako Utakuwa unawakumbuka very well
 
aseee
bachela raha sana
akuna mtu atakae kupangia lkn am sure sometimes inaumiza sana
weng wao utaskia wanajiita wagum

i hate to be bachela while sometimes im prouding of it to be rather than vice versa....
 
Back
Top Bottom