Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,727
Wanasema sababu ya cancer,bawasiri,matatizo ya moyo...n.k hvyo wanashauri ule ulichopika home
Wanasema sababu ya cancer,bawasiri,matatizo ya moyo...n.k hvyo wanashauri ule ulichopika home
Aiseee 😂😂😂😂
Mkuu ndio nini hiki? Unaweza kutuelekeza namna ya kupika?
Aiseee
Uzi wa vyakula we unatuletelea stori za kufua! Umevurugwa?Na issue nyingine mabachela tunateseka ni kwenye kufua...mi njia rahisi nina mashati 18 na Boxer 22 navifua vyote naviweka, na nia jeans zisizopungua 9 kadeti 3..nachofanya jeans kufuliwa ni nadra sana nakuwa nazi-edit(haifuliwi inafutwa na maji na kitambaa kwa ustadi mkubwa)...so kufua nafua mara moja kwa mwezi (Boxer,Vest,Mashati na sox pair 3).na haipiti siku tatu nafua shati moja usiku ninavokuwa nimetoka mihangaikoni .Jeans ikifuliwa siku hiyo lazima icheke ...
Nilikuwa najazia....kuwa mwelewa basi...alafu simaindi shobo ...katoe utoko hukoUzi wa vyakula we unatuletelea stori za kufua! Umevurugwa?
nutela nndo ninNunua nutela, nunua mkate mzur mlaini, blue band. Uwe na kahawa na nido. Asee utaishi maisha rahis snaa, yaani we ni kuchemsha maj tu na kupaka mkate kwisha. Hyo u apiga asubuh na usiku, kama simple snack.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako tunaruka ngome usiku wa manane na mbwa zinabweka kwenda kuiba unga kwa mhindi yule pusha mkuu....wewe unasema kula tambi na tomato ni uhuni?Kumbe huu uhuni wa kula tambi na tomato sauce nilihis ni mimi peke yangu hatari mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbiga usioshe baada ya kuikatakata, unaondoa viinilishe. Ioshwe kablaWeka wali kweny ricecooker weka chai yako pemben wali ukiiva pakua weka kweny feni upoe fasta ukishapoa chukua chai piga fasta au unaweza nunua ndondo kwa mamantilie ukija unamwagia juu unapiga
Ukichoka wali chai nunua kiungo cha pilau cha 100 na mshikaki wa jero changanya kwenye ricecooker vizur vikiiva ni pilau tayar halina mbwembee chukua nyanya moja kata kata piga shushia na maji
Mm nilijenga urafiki na wale wamama wanaouza mboga za majan so nikitaka nampigia simu ananikatia katia kabisa nikichukua nikuosha weka kwenye jungu chukua nyanya moja kitunguu changany vyote na mafuta wela vyote zungusha dk 6 had 8 tayar
Sent using Jamii Forums mobile app
Mboga usioshe baada ya kuikatakata, unaondoa viinilishe. Ioshwe kabla
Nunua nutela, nunua mkate mzur mlaini, blue band. Uwe na kahawa na nido. Asee utaishi maisha rahis snaa, yaani we ni kuchemsha maj tu na kupaka mkate kwisha. Hyo u apiga asubuh na usiku, kama simple snack.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bamia ,unachukua nyanya na kitunguu ,unakaanga kama dakika tano hivi unalumangia na sembe lako na samaki wa gengeni kama kilainishiVyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika?
Asanteni
Dah.... Utakuwa unakula viporo maisha yako Yote. Hatari Sana 😀Kupika kila siku kunachosha fanya hivi kama una jokofu, wewe tenga siku upike vyakula tofauti tofauti kisha hifadhi kwenye jokofu, kazi yako inakua kuchota kidogo na kupasha kwenye Microwave tu.
Mtembelee Aroma of Zanzibar YouTube atakupa muongozo wa kupika vyakula mbali mbali mimi huyu ni mkombozi wangu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Hiki ni chakula cha bachela anachoweza kupika fasta? 😂😂Makande na njugu mawe.
Tabia yangu hiiUgali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu