Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
Wana bahati sana wangeongoza kipindi cha agano la kale sijui kama wange-survive . Manake kipindi kile ukileta unafiki au kosa dogo tu kama alilofanya Musa basi adhabu pale pale. Na pia washukuru mno watz tuko poa sana wanatunyanyasa lkn aa tunamwachia Mungu. Tena na hawa viongozi wa dini wanaongoza kwa ufisadi unadhani ukikosa ada ya mtoto shule wanakusaidia hawa . Wanasahau kua kila jpili unatoaga sh 200 wewe na familia yako yote na bado michango ya jumuia . Tumewanyamazia tu wanadhani hatuelewi/ hatujui kama wanatunyonya na wameanzisha mara fungu la kumi n.k. Viongozi wa dini acheni siasa fanyeni kazi mliyoitiwa na kama mnataka kutetea wananchi basi simamieni hakiwazi kabisa...mimi nakwambia wanaoharibu nchi hii ni viongozi.....kwenye sekta zote.....ziwe za kisiasa...au hata kidini.....na raia wa TZ kwa kweli ni wavumilivu sana....maana kama raia wangekua na uwezo wa kusimamia maadili wengeweza....lakini unapomkuta kiongozi wa dini anasimama anaendekeza maswala ya kifisadi....au kujiingiza kwenye maswala ya siasa za maji taka....alafu hapo hapo anasimama na kujifanya kukemea..kwa kweli hata raia inawawia ngumu kujishughulisha na mapambano ya uchuro (mfano ufisadi)...maana wanajifunza na kuona kutoka kwa viongozi wao(wa kidini au kisiasa).....Watu siku hizi hawana role model leaders (wawe wa kisiasa...wawe wa kidini)...ni tatizo kubwa hili TZ.........