Mchungaji Kimondo: Amani ipo iwapo haki itatendeka

Mchungaji Kimondo: Amani ipo iwapo haki itatendeka

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707


Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema haiwezekani taifa likapata amani ya kudumu ikiwa haki za kikatiba za wananchi na vyama vya upinzani zinaendelea kukandamizwa. Amesema viongozi wa serikali na vyombo vya dola wanapaswa kutambua kuwa amani ya kweli hujengwa kwa kuheshimu sheria na haki za raia.

Akizungumza jijini Mbeya, Kimondo alikosoa marufuku ya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, akidai hatua hiyo inalenga kudhoofisha shughuli za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Aidha, alisema hoja ya "tishio la kiusalama" inayotolewa kuhalalisha zuio hilo haina msingi wa kisheria, akieleza kuwa mikusanyiko mingine ya kijamii na michezo inaendelea kufanyika na kulindwa na Jeshi la Polisi bila kuzuiwa.
 
Ukimuangalia tu unaona kabisa ni punga. Anyway, kwa Sasa upande huo lazima uinuke sana kusema hili na lile sababu si 'mtu' wao. Alipokuwa mtu wao na makubwa ya ajabu yalipokuwa yanaendelea walikuwa kimyaaa, vikelele vidogoooooo vya kuzugia.
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA MKUU, LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NA KUFANYA MAUAJI.......

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari,

8. Anayezima Mtandao na kuzuia baadhi ya mitandao ya kijamii x, Twiter, Jf Jambo nk.

9. Anayewabambikizia kesi wapinzani zisizo na sababu zozote za Msingi na zilizojaa Upumbavu.

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA.
HAKUNA ALIYE SALAMA.
 
Ukimuangalia tu unaona kabisa ni punga. Anyway, kwa Sasa upande huo lazima uinuke sana kusema hili na lile sababu si 'mtu' wao. Alipokuwa mtu wao na makubwa ya ajabu yalipokuwa yanaendelea walikuwa kimyaaa, vikelele vidogoooooo vya kuzugia.
Kisa wewe unazibuliwa na Abdul kwenye makorido ya Lumumba
 
Back
Top Bottom