Maaskofu mwacheni Rais atimize wajibu wake.

Maaskofu mwacheni Rais atimize wajibu wake.

m2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
979
Reaction score
1,354
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
 
Kama anahitaji baraka za hao maaskofu ili kutimiza wajibu wake,akubali pia kukosolewa ambalo ni jambo jema kwa muungwana yoyote ili arekebishe mambo yaende sawa.
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
Wewe ndiyo uwaache maaskofu watimize wajibu wao.
 
Maaskofu wamemkwamishaje 'jiwe' kutimiza wajibu wake?? Vipi wao ndio wamezifilisi banks?? Wao ndio wamefukuza watu kwenye makampuni?? Ridandas

Wao ndio wamekamata ndege kule canada? Wai ndio wameteka watu???

Wao ndio wamezuia uhuru wa kujieeleza?? Wao ndio wamefanya hujuma katika uchaguzi mdogo??

Wao ndio hawapelek feza za huduma za jamii ???
 
Wajibu wake wautimize kwa kuzingatia misingi ya sheria na katiba ya nchi kama alivyoapa kuilinda, haki itendeke kwa kila raia wa nchi bila ubaguzi wowote ule hapo itapendeza sana tu lakini sio vinginevyo
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
Wajibu wa kwanza wa kiongozi ni kulinda uhai wa anaowaongoza...... kila siku Watu wanapotea na vifo vya ajabu...... hili lisipokomeshwa maendeleo unamfanyia Nani?
Kwanza wanamzuiaje kutimiza Wajibu wake? Usiwaze kinjaa mkuu
 
Wajibu wa kwanza wa kiongozi ni kulinda uhai wa anaowaongoza...... kila siku Watu wanapotea na vifo vya ajabu...... hili lisipokomeshwa maendeleo unamfanyia Nani?
Kwanza wanamzuiaje kutimiza Wajibu wake? Usiwaze kinjaa mkuu
Asante uliyeshiba mkuu. Jifunze kuridhika badala ya kulalamika.
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
Kanisa lipo tangu karne nyingi zilizopita, Unadhani limeishi vipi karne zote hizo? Unadhani walitegemea sadaka kutoka kwa Sizonje? Acha ukolomije wko hapa , uwe unafikiri kabla ya kutapika uharo humu jukwaani
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
IMG-20180330-WA0000.jpeg
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
tatizo wajibu anao timiza sasa tulio mtuma wakati tunamuingiza ikulu
 
Back
Top Bottom