Maaskofu mwacheni Rais atimize wajibu wake.

Maaskofu mwacheni Rais atimize wajibu wake.

Inasikitisha, maaskofu wamesahau kanuni za kikristo. Na aliyewadanganya atawaponza endapo hawatamshtukia mapema.

Wanaosifia walivyofanya na utaratibu walioutumia hawawezi kujua kwa sasa maana yamefichwa machoni pao.
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
 
Nyie endeleeni kumpoteza tu huyo "malaika" wenu....ila mtambue inayoharibiwa ni Nchi yetu wenyewe.
 
Ujumbe wa maaskofu ni kwa wale hasa wanaojifanya wakristo lakini hawatendi ya kristo!
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.
Kwanini usimhimize huyo unayempenda naye atubu dhambi zake nyingi na aliache Kanisa lifanye kazi yake?

Njama zozote za kulizonga Kanisa na kuminya Uhuru wa Kuabudu zishindwe kwa Jina la Yesu, na Kiongozi yeyote anayelitesa Kanisa tunamtupa kuzimu kwa Jina la Yesu na ateketee katika ziwa la moto wa milele!
 
Kati ya uzi wa kipumbavu siku za hivi karibuni umejitahidi kuwachafua viongozi wetu wa dini
 
Nawasihi maaskofu wamwache raisi wetu atimize wajibu wake kama mkuu wa nchi. Njama zozote za kupinga juhudi zake lazima zishindwe katika jina la yesu.

Kumekuwa na. juhudi za makusudi kumkwamisha mheshimiwa rais kwa sababu ambazo ni za kibinafsi kutoka KWA viongozi wa makanisa na so vinginevyo.

Tunajua baadhi ya makanisa yamekosa sadaka toka KWA waumini wapiga dili n.a. magendo na ambao wamekuwa wanufaika wa biashara chafu ndo maana kumekuwa na makelele ya hovyo kila kona ya nchi yetu kwa kidhibitiwa n.a. serikali ikiwemo kukwepa kodi KWA wafanyabiashara wasio waaminifu.

Nawasihi maaskofu mumuache rais wetu atimize wajibu wake KWA taifa lake.

Si kila aliitaye jina la yesu ni mtumishi wa kweli wa Mungu.

Tujihadhari nao watumishi hawa na tuwaepuke.
Pumba tupu lione kwanza
 
Back
Top Bottom