Maaskofu kabla ya kuliombea taifa yafanyike mapatano kwanza

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Waheshimiwa viongozi wa dini,kabla ya maombi ya kuliombea taifa,yafanyike mapatano kwanza,kati ya serekali,na wananchi wake,waheshimiwa maskofu,mkifanya hivyo, tukiomba maombi yetu yatafika mbinguni,waheshimiwa viongozu wetu wa dini mkifanya mapatano, tukatubu,dhambi zetu,tukaomba toba ,na baada ya toba tukafanya maombi yatafika mbinguni,na mungu atajibu maombi
Waheshimiwa,nyie mmetufundisha makanisani kuwa huwezi kuomba mungu,alfu ukawa na kinyongo alfu mungu akasikia maombi yetu.
 
Upo sahihi kabisa. Maombi bila ya kufanya nTob ni Upuuzi mtupu. Huwa nasikia tu wakitoa matamko ya kuliombea taifa halafu wanakutana na kuanza kuliombea.
Maombi yapaswa yatanguliwe na Toba/mapatano ndiyo maana ya maombi hutumia.
 
Toba...

Hawa viongozi wetu wa dini zote hata wafanye maombi na mifungo kwa miezi sita, kuiombea mvua kwa hakika mvua ahita nyesha. Ni wanafiki daraja la kwanza
 
Back
Top Bottom