Maarifa ya kiroho: Karibu tuzungumze tuelimishane

Maarifa ya kiroho: Karibu tuzungumze tuelimishane

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Kuna vitu nitaviandika hapa na baadhi watasema mbona matajiri hawafanyi hivyo!? Lakini jibu ni moja tuu.. Wamefanya hivyo pamoja na mengine ndio maana wamefika hapo walipo
Sasa mada hii si kwa ajili ya utajiri pekee bali na mambo mengine mengi yatakayokusaidia sana maishani
1. Nguo/vazi
Hiki kitu kimebeba sehemu muhimu ya maisha yako
Kupata/kukosa
Furaha/huzuni
Kusimama/kuanguka
Kuna kila aina ya vazi kwenye kila tukio.. Nguo ni utambulisho wako binafsi na ni utambulisho wa tukio na ni kumbukumbu pia
Ilikusitiri kwa mengi ikakulinda hata nyakati ngumu
Inapoozeeka, kuchuja, kufubaa ama kuchanika.. Usiigeuze dekio/tambara la deck .. Itaondoka na baraka zako zote..
Ukiona haikufai tena lakini inafaa kwa wengine ifue vizuri, itakase kwa chumvi igawe sehemu sahihi! Epuka sana kumpa jirani au ndugu asiye eleweka sana!
Isiyofaa kabisa agana nayo kwa utumishi mwema kisha ipige moto
NB: Nguo za urithi hubeba roho ya marehemu! Zinene kabla ya kutumia, usigawe wala usiuze!

2. Ardhi/shamba/nyumba
Usinunue hivyo vitu vilivyowekwa rehani.. Kisha mhusika akashindwa kukomboa na hatomaye kupigwa mnada! Usipotithi madeni utarithi maumivu

3. (Hili litapata upinzani) lakini si vizuri kumchinjia mgeni mnyama umfugaye! Unamhudumia kila siku kwa upendo kumbe moyoni mwako una lako jambo
Kwahiyo siku akija mtu wako wa maana yeye thamani yake inaishia hapo! Akichinjwa roho yake itakuwa juu ya huyo mgeni..

4. Epuka kununua Godoro used.!
Tunaweza kununua vitu vingi mtumba na kuvifua ama kuvisafisha ili kuondoa uchafu na kufubaza nguvu hasi yoyote lakini vipi kuhusu godoro
Kati ya vitu vinavyobeba nishati nyingi na kuhifadhi godoro ni namba moja.. Maana katika masaa 24 lina direct domination isiyopungua masaa 8
Na magodoro hatari zaidi ni magodoro ya gesti za shortime.. Yana accumulation kubwa sana ya mixed energies kwa wakati mmoja.. Lakini wengi hawajui hayo!
Ni rahisi mno kupata magonjwa ya kimwili na ya kiroho kwenye gesti za namna hiyo

4. Mimea nyumbani
Ni vizuri kuwa na mimea mbalimbali nyumbani.. Kwakuwa inakusaidia urembo, kutunza mazingira nk
Lakini si mimea yote ni mizuri.. Epuka kabisa mimea isiyozaa matunda, mimea isiyotoa maua, mimea yenye miba, mimea yenye mizizi inayosambaa badala ya kwenda chini.. Mimea isiyokimbiliwa na wadudu nk

5. Malighafi hasi
Epuka kumiliki/ kuhifadhi malighafi nasi
Chochote kina hope dele as na wachawi na waganga wa kienyeji... Mfano kwenye kabati lako la nguo una kaniki😀 ya nini sasa hiyo
 
1771924910478.jpg
 
Kuna vitu nitaviandika hapa na baadhi watasema mbona matajiri hawafanyi hivyo!? Lakini jibu ni moja tuu.. Wamefanya hivyo pamoja na mengine ndio maana wamefika hapo walipo
Sasa mada hii si kwa ajili ya utajiri pekee bali na mambo mengine mengi yatakayokusaidia sana maishani
1. Nguo/vazi
Hiki kitu kimebeba sehemu muhimu ya maisha yako
Kupata/kukosa
Furaha/huzuni
Kusimama/kuanguka
Kuna kila aina ya vazi kwenye kila tukio.. Nguo ni utambulisho wako binafsi na ni utambulisho wa tukio na ni kumbukumbu pia
Ilikusitiri kwa mengi ikakulinda hata nyakati ngumu
Inapoozeeka, kuchuja, kufubaa ama kuchanika.. Usiigeuze dekio/tambara la deck .. Itaondoka na baraka zako zote..
Ukiona haikufai tena lakini inafaa kwa wengine ifue vizuri, itakase kwa chumvi igawe sehemu sahihi! Epuka sana kumpa jirani au ndugu asiye eleweka sana!
Isiyofaa kabisa agana nayo kwa utumishi mwema kisha ipige moto
NB: Nguo za urithi hubeba roho ya marehemu! Zinene kabla ya kutumia, usigawe wala usiuze!

2. Ardhi/shamba/nyumba
Usinunue hivyo vitu vilivyowekwa rehani.. Kisha mhusika akashindwa kukomboa na hatomaye kupigwa mnada! Usipotithi madeni utarithi maumivu

3. (Hili litapata upinzani) lakini si vizuri kumchinjia mgeni mnyama umfugaye! Unamhudumia kila siku kwa upendo kumbe moyoni mwako una lako jambo
Kwahiyo siku akija mtu wako wa maana yeye thamani yake inaishia hapo! Akichinjwa roho yake itakuwa juu ya huyo mgeni..

4. Epuka kununua Godoro used.!
Tunaweza kununua vitu vingi mtumba na kuvifua ama kuvisafisha ili kuondoa uchafu na kufubaza nguvu hasi yoyote lakini vipi kuhusu godoro
Kati ya vitu vinavyobeba nishati nyingi na kuhifadhi godoro ni namba moja.. Maana katika masaa 24 lina direct domination isiyopungua masaa 8
Na magodoro hatari zaidi ni magodoro ya gesti za shortime.. Yana accumulation kubwa sana ya mixed energies kwa wakati mmoja.. Lakini wengi hawajui hayo!
Ni rahisi mno kupata magonjwa ya kimwili na ya kiroho kwenye gesti za namna hiyo

4. Mimea nyumbani
Ni vizuri kuwa na mimea mbalimbali nyumbani.. Kwakuwa inakusaidia urembo, kutunza mazingira nk
Lakini si mimea yote ni mizuri.. Epuka kabisa mimea isiyozaa matunda, mimea isiyotoa maua, mimea yenye miba, mimea yenye mizizi inayosambaa badala ya kwenda chini.. Mimea isiyokimbiliwa na wadudu nk

5. Malighafi hasi
Epuka kumiliki/ kuhifadhi malighafi nasi
Chochote kina hope dele as na wachawi na waganga wa kienyeji... Mfano kwenye kabati lako la nguo una kaniki😀 ya nini sasa hiyo
kikwetu binti au kijana ukienda ukweni siku ya kwanza hauruhusiwi kula nyama ya kuku wanasema ukila sijui ndoa yenu haitofanikiwa sijui kama ni kweli au lah,, ila hiyo no 3 ndo imenifanya nilinganishe na mila za kijijin kwetu
 
kikwetu binti au kijana ukienda ukweni siku ya kwanza hauruhusiwi kula nyama ya kuku wanasema ukila sijui ndoa yenu haitofanikiwa sijui kama ni kweli au lah,, ila hiyo no 3 ndo imenifanya nilinganishe na mila za kijijin kwetu
Tatizo wahenga wetu walitupa masharti na madhara ya mambo mengi bila kutufunulia password
 
Minadani Kuna Hadi chupi za nyumba hii inakaaje kiroho kwa upande wa dada zetu wanaozinunua.
Kuhusu magogoro used mbona watu wengi sana wanalalia kwenye nyumba za wageni
 
Sasa mshana na hii mitumba tunayovaa?
Hata mpya kama umepewa zawadi usivae bila kuiombea vituvingi vinaendesha kwa dhamira huwez jua mtuhuyo alidhamiria nini kukupa

Nyingine tafuta vitu vya kutumia wageni wanaolala nyumbani shuka na nguo za kutumia kuoga wakiondoka fua zihifadhi
 
Hata mpya kama umepewa zawadi usivae bila kuiombea vituvingi vinaendesha kwa dhamira huwez jua mtuhuyo alidhamiria nini kukupa

Nyingine tafuta vitu vya kutumia wageni wanaolala nyumbani shuka na nguo za kutumia kuoga wakiondoka fua zihifadhi
Hua si complicate maisha kiasi hicho. Ukimchunguza sana bata hutomla.
 
Hata mpya kama umepewa zawadi usivae bila kuiombea vituvingi vinaendesha kwa dhamira huwez jua mtuhuyo alidhamiria nini kukupa

Nyingine tafuta vitu vya kutumia wageni wanaolala nyumbani shuka na nguo za kutumia kuoga wakiondoka fua zihifadhi
kwenye mahafari yangu moja nililetewa zawadi ya khanga na ndugu upande wa baba walokua karibu na mkoa nilokua nasomea,,, sasa zile zawadi sikuzifungua kukagua mi nilizitunza mpka siku nimerudi kijijn kwetu nikaanza kumuonesha mama angu huku namueleza hii kanipa flani na hii ni ya flani, mama ndo akasema hebu kunjua tuone maandishi si tukakutana na "TULIMPENDA ILA MUNGU KAMPENDA ZAIDI" tulibaki tunatizamana kheee😆😆 kwanini alichagua khanga ya namna hii basi tuka assume kama hakuikagua ila sikuzitumia mda mrefu nikaziacha
 
Sasa mshana na hii mitumba tunayovaa?
99% iko sterilized! Kiroho na kimwili kwakuwa si lazima iwe na nguvu hasi, hata mnunuzi anaweza kumuathiri mmiliki..! Lakini jitahidi uachane nayo
 
Minadani Kuna Hadi chupi za nyumba hii inakaaje kiroho kwa upande wa dada zetu wanaozinunua.
Kuhusu magogoro used mbona watu wengi sana wanalalia kwenye nyumba za wageni
Ndio maana fight ni ngumu sana na changamoto haziishi. Unapata cha kuhudumia matumizi ya lazima tuu.. Huna weekend huna likizo unalala umechoka unaamka umechoka na unaona ndio maisha
 
Hata mpya kama umepewa zawadi usivae bila kuiombea vituvingi vinaendesha kwa dhamira huwez jua mtuhuyo alidhamiria nini kukupa

Nyingine tafuta vitu vya kutumia wageni wanaolala nyumbani shuka na nguo za kutumia kuoga wakiondoka fua zihifadhi
Tanga wana kikalio kinaitwa jamvi la wageni.. Tafsiri yake ni la wageni tuu
Wenye uwezo kidogo waliojaaliwa huwa na chumba cha wageni! Hiki huwa nje ya nyumba ya familia..
Wengine huwa na vyombo vya wageni kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom