Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Wadau nimeona movie/film nyingi zikiisha yanakuja maandishi kama majina ya cast na directors na mambo mengine.
Maranyingi hata mtoto wa miaka michache akiyaona hayo anajua movie au film imeisha.
Huwa yana-move faster kweli katika movie nyingi hata huwez kuyasoma.
Hivi wanayaweka kwa maana gani kama wanayamovuzisha faster? Hem tujulishane wajuvi
Maranyingi hata mtoto wa miaka michache akiyaona hayo anajua movie au film imeisha.
Huwa yana-move faster kweli katika movie nyingi hata huwez kuyasoma.
Hivi wanayaweka kwa maana gani kama wanayamovuzisha faster? Hem tujulishane wajuvi