Maandamano yamefanikiwa

Maandamano yamefanikiwa

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,784
Reaction score
13,007
The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko.

Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa na watu waliolaaniwa kwa kuua watu,kuiba pesa za umma,kutesa watu Nk.waovu kamwe hawawezi kupata utulivu.

Ukweli ni kwamba anguko la hii regime ovu haliepukiki kwa sababu wametengeneza hili kwa mikono yao wenyewe. Tusubiri muda wa Mungu.
 
The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko.

Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa na watu waliolaaniwa kwa kuua watu,kuiba pesa za umma,kutesa watu Nk.waovu kamwe hawawezi kupata utulivu.

Ukweli ni kwamba anguko la hii regime ovu haliepukiki kwa sababu wametengeneza hili kwa mikono yao wenyewe. Tusubiri muda wa Mungu.
Hakunanaga maandamano ya kudai haki yanayo pangiwa tarehe .
 
The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko.

Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa na watu waliolaaniwa kwa kuua watu,kuiba pesa za umma,kutesa watu Nk.waovu kamwe hawawezi kupata utulivu.

Ukweli ni kwamba anguko la hii regime ovu haliepukiki kwa sababu wametengeneza hili kwa mikono yao wenyewe. Tusubiri muda wa Mungu.
Uliandamana pande zipi kamanda?!!!!
 
The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko.

Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa na watu waliolaaniwa kwa kuua watu,kuiba pesa za umma,kutesa watu Nk.waovu kamwe hawawezi kupata utulivu.

Ukweli ni kwamba anguko la hii regime ovu haliepukiki kwa sababu wametengeneza hili kwa mikono yao wenyewe. Tusubiri muda wa Mungu.
Vipi ulikaa uvunguni kama mo29 kamanda? Ungetoka basi labda ungekomboa taifa leo 😃😃😃
 
Vipi ulikaa uvunguni kama mo29 kamanda? Ungetoka basi labda ungekomboa taifa leo 😃😃😃
Tarehe 29 nilishiriki maandamano kama nyie utawala ovu hamtapata amani na utulivu leo tu mmehaha hii ni kwasababu waovu hawawezi kupata utulivu na wataanguka.
 
Samia ataanguka soon na hamtaweza kuzuia kwa sababu kajitengenezea laana kwa mikono yake mwenyewe.
Lilisikika linyumbu limoja lililochanganyikiwa baada ya kushindwa kwa maandamano yao likitoa ushuzi puu puu puu kupitia mdomo.
 
Lilisikika linyumbu limoja lililochanganyikiwa baada ya kushindwa kwa maandamano yao likitoa ushuzi puu puu puu kupitia mdomo.
Maandamano hayajashindwa wanajeshi na polisi walikuwa barabarani hujawaona au?leo ujumbe umetumwa kwa njia ya kisaikologia na kama mambo hayatabadilika ipo siku itakuwa zamu ya watanzania wote kutoka.watu wenye akili wangekaa chini na kuona namna ya kurekebisha mambo ila huko mmejaa vilaza tu kuanzia kwa mama yenu.
 
Lilisikika linyumbu limoja lililochanganyikiwa baada ya kushindwa kwa maandamano yao likitoa ushuzi puu puu puu kupitia mdomo.
Ushuzi tena? Kumbe na wewe ni wakupuuzwa tu. Huna hoja unaandika mambo ya ushuzi. Ccm recruitment ya machawa wao sijui huwa wanaangalia nini.
 
The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko.

Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa na watu waliolaaniwa kwa kuua watu,kuiba pesa za umma,kutesa watu Nk.waovu kamwe hawawezi kupata utulivu.

Ukweli ni kwamba anguko la hii regime ovu haliepukiki kwa sababu wametengeneza hili kwa mikono yao wenyewe. Tusubiri muda wa Mungu.
Sana sana!
 

Attachments

  • 20260707_204605.jpg
    20260707_204605.jpg
    119.1 KB · Views: 6
Back
Top Bottom