Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Hatimaye jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.
Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.
waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi mmoja.
Hayo yamo kwenye Taarifa ya Suleiman Kova aliyoitoa hivi punde.