Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nimepata habari kutoka Arusha kwamba yale maandamano ya jana ya vijana wa UVCCM wafuasi wa Millya yalikuwa hayana kibali cha polisi. Inafaa CDM walivalie njuga suala hili, kwani ingekuwa ni waio, basi viongozi wa CDM leo hii wangekuwa wanapandishwa kizimbani.