Hii ni kete ya mwisho kwa CHADEMA,naamini hawatakua na hawana nia ya kufanya maandamano kwa sababu wanaijua vema hii serikali si dhaifu tena,
Kauli hizi za maandano kwa CHADEMA ni moja ya propaganda yao ya kukifufua chama ili kisitoke midomoni mwa wanachama.
CHADEMA walijua baada ya kutoa kauli hii kuna viongozi watapaniki sana na kupaniki kwao ndio itakua njia peke ya kuwatambulisha kua bado wapo kwenye top ten ya chama pinzani
Ushauri wangu
Najua maandamano hayatakuwepo naamini hivyoila chama kijiandae kufa
Na ndugu zangu chama tawala acheni kuzungumzia maandamano ya CHADEMA, mnakipa umaarufu bila kujijua,
Narudia tena hakuta kua na maandamano na tarehe moja ni mwisho kwa CHADEMA.