taarifa za kitentelejinsia zitatupeleka shimoni..................
Al Shabaab wanaogopa kibatari
kutakuwa na maandamano ya kuupokea mwenge wa uhuru jijini Dar es salaam ukitokea mkoa wa Pwani. Na utapokelewa na raisi JK.
Swali: hivi haya maandamano ya kuupokea mwenge Al shaabab wameenda likizo?