Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Kajolijo

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,364
Reaction score
4,618
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh Sugu
3035a01ef44d40798a498e6f8dfc7c21.jpg

1553318442708.jpeg
1553318474745.jpeg
IMG_20190323_081744.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanapenda sana kupoteza mda wao, sijui hawana kazi za kufanya?

■ Mbeya imetengwa katika maendeleo ya barabara n.k kwa sababu eti inaongozwa na upinzani, UNAMPONGEZA KWA LIPI SASA?

■Kuna Dada/sijui Mama mrefuuu anamwaga hela kwa wanainchi, ukijiuliza hizi hela anatoa wapi? na kwanini asizitumie kuleta maendeleo badala ya kugawa kwa wanainchi? hivi kwa akili hii UNAMPONGEZEA NINI?

☆☆Watu wanangamia kwa kukosa maarifa ndo hili, yaani badala ya kutafuta pesa ya familia zao, mnakaa kuzurura barabarani eti KUMPONGEZA MTU WAKATI HATA ANGEKUWA AMEFANYA, ANATIMIZA WAJIBU WAKE.

ENDELEENI KUMPONGEZA MTU ANAYEKULA BATA NYUMBA NYEUPE KULE HATA HAWAFAHAMU.

IMEKULA KWENU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom