Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,618
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh Sugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
