Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
WanaJF
Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya
Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK
Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya
Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK