Maandamano ya kumpongeza JAKAYA

Maandamano ya kumpongeza JAKAYA

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,263
Reaction score
684
WanaJF

Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya

Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK
 
WanaJF

Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya

Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK

Safi tutakuja.Hivi hapo kwenye blue katemwa nani au propaganda?
 
Dont celebrate as of yet, bado Edwadi anaweza kukubana mbavu kabla ya 2015!!!
 
Watz wengi hawatumii akili hata chembe. Kwani MAKAMBA ndiye gamba la CCM? Kuandamana kwa hilo haina tofauti na kumpa mtoto mdogo pipi anyamaze kulia lia. Mwenyewe anajua Watz wamebana hadi basi na hwana jinsi ya kuweka tena mambo level maana chochote watakachofanya ni unafiki tuuu. Ufisadi ndio jadi yao .Wataachaje?
 
Jey Key,

Thread yako haieleweki mara wengi imewauma mara wananchi wengi wamefurahi tuelewe lipi? Labda pengine ni tatizo la uandishi. Naomba utusaidie ili twende pamoja. Amewatema wapi mafisadi na ni akina nani hao? Wametemwa kutoka wapi? Kutemwa huko kumewasaidia nini Wananchi walio wengi? Hayo maandamano ya kihistoria unayopanga kuyafanya ni kwa lipi jk kawafanyia wananchi hadi waache kufanya kazi za kupambana na ugumu wa maisha eti wakang'ang'ane kumwandamania JK?
 
cheap leaders always look for cheap popularity and cheap politics....
 
WanaJF

Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya

Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK

Maamuzi magumu ya JK. Hii ni kama mboga ya kujipikilisha watoto wadogo. Maana haina maana yoyote. Rais wa nchi kufanya mchezo huu wa kitoto ni hatari halafu eti Tumevua gamba!!! Muasisi wa makundi ndani ya chama! Muasisi wa Udini Ndani ya nchi yake! Muasisi wa ufisadi! Halafu muvua magamba wengine wakati lake la kichwani kama Helmet limeng'ang'ania! Tutaona mengi. Maana baada ya hapo Watanzania watarajie maisha bora! mfumuko wa bei umeshashuka! Mafisadi wote wamerudisha pesa za wadanganyika wa 1947! No foleni! Kigoma tayari dubai! Kagera tayari meli ya kisasa! Viwanja vya ndege vimeshaota! MASKINI WATANGANYIKA NA MUSWADA SAFI WA KIJANI!
 
Mnaomuunga mkono mna haki ya kuandamana hilo halina ubishi, andamaneni. Halafu nilifikiri serikali hii ni ya ccm. Watawachukulia hatu za kisheria mafisadi wote? Wote waliosaini mikataba ya kifisadi watashitakiwa wakiwemo waliohusika na IPTL??? Kazi kwenu mpongezeni nyoka kwa 'kujivua gamba shingoni'...!!!
 
Mnaomuunga mkono mna haki ya kuandamana hilo halina ubishi, andamaneni. Halafu nilifikiri serikali hii ni ya ccm. Watawachukulia hatu za kisheria mafisadi wote? Wote waliosaini mikataba ya kifisadi watashitakiwa wakiwemo waliohusika na IPTL??? Kazi kwenu mpongezeni nyoka kwa 'kujivua gamba shingoni'...!!!

Gamba limeisha vuka tayar
 
WanaJF

Najua wengi itakuwa inawauma lakini ndo hivyo mambo yamekuwa
Baada chama kubwa kuzaliwa upya na kuwatema mafisadi, wananchi wengi wamefurahia uamuzi huo na sasa waandae maandamano ya kumpongeza Jk kwa kazi nzuri aliyoifanya

Nafikiri clouds fm watafanya kazi nzuri kuutangazia umma kwa mapokezi ya kihistoria kwa JK

Mafisadi hawatemwi ili chama kiwe safi. Wanatemwa kupisha mkondo wa sheria uchukue nafasi yake. Tabia zenu za kubadili rangi ya gamba halafu mwajidai mmelivua imehatuchosha.
 
Ni lini ccm imewatema mafisadi wewe! Hawajesema ivo wamesema wamevua gamba tu na kuwapa siku 90 wenzao. Vp ukumbuki jk alipowapigia goti mafisadi akiwaomba warudi ela ya EPA? Ujui ahadi za jk,uwa hazitimii,subiri cku90 ndo ulete ujumbe wako.
 
Hope clouds wataandaa haya maandamano
Unapoona maandamano ya CDM unafikiri kuandaa kazi rahisi unaweza kujikuta mwenyewe siku ya maandamano muulize Shitambala atakusimulia.
 
Gamba lipi!!?,la kumuondoa Makamba!!?,Makamba kawaibia nini wananchi!!?,au alikuwa akiwakejeli wananchi!!?,ni hilo tu ndio litakalowafanya muache kazi zenu na kwenda kwenye maandamano yasio na tija.Hivi hili gamba walilolivua ccm linawasaidia vp wananchi masikini!!!??Nyoka anapojivua gamba haimaanishi ataacha kuuma na kutema sumu!!,Tuambieni wale wote wanaohusika na rushwa,UFISADI uliobadilika fasheni kwa viongozi mmeshawafanyia nini akiwamo Jk mwenyewe vinginevyo mtakuwa mnapiga propaganda huku mkiwaacha Watanzania walio wengi kubaki masikini mwanzo mwisho kuanzia ktk elimu mpaka mlo wao..R.I.P ccm
 
Unapoona maandamano ya CDM unafikiri kuandaa kazi rahisi unaweza kujikuta mwenyewe siku ya maandamano muulize Shitambala atakusimulia.

B2oEzSdm5O3JAAAAAElFTkSuQmCC


Hilo nyomi unaliona?
 
Acha ufukara wa fikira, waloenguliwa CCM siyo mafisadi kwasababu hawapo kwenye orodha ya Rais wetu wa ukweli Dk. WS iliyotolewa pale Mwembe yanga. Wametolewa kisa wanasema kweli na haki na Makamba ana msimamo. Ila huyu Mkama na Mnauye wanaburuzwa tu kama yule spika Mpya kule Mjengoni.
 
Back
Top Bottom