Kila mtu ana haki ya kufanya maandamano ili mradi havunji sheria ya nchi, so kwa sababu hiyo nyie andamaneni tu kusifia ujinga.Hivi unadhani waliotunga usemi wa WAJINGA NDO WALIWAO walikosea?Nendeni mkaliwe.
Tatizo Tanzania si ufisadi, ni ufugaji wa mafisadi. Jee, mfugaji pia anaondoka na halafu akubali wote wachukuliwe hatua? Haya mambo hayaishii kujiuzulu tu, lazima wote hawa na kubwa lao watiwe ndani, mali zao wanyang'anywe. Sisi hatukubali chini ya hapo!
Mkuu mbona unajichanganya nani anafanya mapokezi!! alafu watuambie Mkuu wa kaya amefanya yapi ya kupongezwa wakati yeye mwenye anasema Jamii inamuona afanyi kitu yy na Serekali yake kwy Semina endelevu kule dodoma.
Mkuu apa siyo sehemu ya Mzaa
Sijui kwanini CCM wanaona waTZ ni wajinga kiasi hicho! Yaani wanapiga bla bla tu; wamesema wanawafukuza mafisadi, baadaye wakakanusha, sasa wanaandaa sherehe kujipongeza kwa 'kazi kubwa'! Inahitaji akili ya mwenda wazimu tu kuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.