Kwa nini Lisa Rockefeller anaitwa dada kipenzi cha Watanzania? Ni nani huyu dada? Anahusiana na Senator Rockefeller?
Is it not illegal kuandamana DC kumpinga JK? Hata kama kuna ufisadi Tanzania,Tanzania siyo Libya,siyo Syria,why should there be so much concern in the diaspora? Halafu ninyi ni Tanzanian citizens hata kama mko US. Ubalozi wetu huko una maoni gani?
Unasema unataka JK aondoke. Lakini JK ataondoka baada ya kumaliza muda wake.
Does it mean you want him to leave sooner?
Kuhusu mafisadi,Nae ameshasma CCM inafanya jitihada kubwa kuwaondoa. Walipewa siku 90 kuondoka,mmoja tu aliondoka ,bado wawili. Nape amewapa siku 30 or so zaidi ili nao pia wajiondoe.
Tatizo la watu wanapokuwa katika diaspora they feel that they can influence the mother country,kwa sababu wako out of reach,and they can speak without fear. But this feeling is quite unfounded.
Juhudi zenu za kumuaibisha JK zitakuwa ludicruos.
To have any influence in this country,you have to be present,it is only your gravity presence,your physical presence in Tanzania that can enable you to influence events here.
Mimi pia nipo katika CCM. Kuna coordination gani kati ya mambo wanayotaka kufanya watu katika diaspora na watu ambao wako nyumbani?
Naomba kuwa informed about what is happenning.
+718 536 281
nyerereburito@yahoo.com
<br />
<br />
we una maslahi binafsi na familia ya jk nini?
Muda wake upi? Sio lazima akae miaka mitano.
Yes, Why not?
Kwa nini wasishitakiwe? Huu ni uonevu wezi wa kuku wanafungwa lakini mafisadi wanalelewa kama yatima.
So what? Let people feel what they want its a free world.
Kama ni ludicruos kama ulivyoandika mbona umekuja mbogo?
Sasa kama hawana influence kwa nini unagwaya?
Halafu unataka tukupigie simu wewe ili iweje? wewe tayari ni gamba na hapa umeshikwa pabaya maana una huzuni kuu.
Kuwalea maswahiba wake kama JAIRO na Ngeleja ambao ni wezi wa mchana
Dada hiyo mbeleko unayombebea Mk-kwere mwisha sasa itakua nzito na kuchanika.Pumba tu hizo, miambiwa tulinganishe apple na apple mnashindwa hata kujaribu.
FaizaFoxy ni msaidizi wa JK. Anafanya kazi na Salva. Yupo tayari kufa kwa ajili ya JK. Huyu mama ni jeuri kweli, alafu lina dharau sijui kwa sababu ya lile libwana la Symbion? Watu bwana. Sasa mbona madhambi yake tunayo kibao? Au anadhania tunaingilia uharakati kichwa kichwa. Mimi ni mwana UVCCM kwa hiyo siri za hawa watu nazifahamu. Faiza Foxy nimefanya naye kazi sana, alafu ndiye anayetegemewa na JK kwenye mambo mengi
Sijajua kama Ngeleja na Jairo walikuwepo wakati wa Kambarage's administration!Hahahahahahaaaaaaa, unanchekesha! hao wote walilelewa na Nyerere, au hujui hilo?
Pumba tu hizo, mkiambiwa tulinganishe apple na apple mnashindwa hata kujaribu.
Kuna member aliomba details za FaizaFoxy. Mwenye uwezo wa kutupatia labda angeturahisishia kazi..!! Au kwa wale wenye uwezo wa kupata IP adress yake / zake anazotumia ingekuwa vema sana pia.
<br />Sijajua kama Ngeleja na Jairo walikuwepo wakati wa Kambarage's administration!
Huyu binti ni balaa... anawachana chana magamba live!....
Rockefeller ‎@Thakur I have the best of Tanzania in my heart. I met good people in Tanzania, and my family has given more than $5million to the needy in Tanznaia in the past 4 years, so you cna reserve that statement yo yourself. So what part are you playing, are you paying taxes?Lisa M Rockefeller Thakur, I am sympathetic. Tanzania is not poor, it is one of the richest in the continent, the only problem you people have, is leadership. People like Kikwete are the one making your country look so poor in the eyes of the world.That is why i feel sorry for you for electing this guy in the first place, and if you were born in Tanznaia and see your future there, think before you vote28 minutes ago
Lisa M Rockefeller i sat with Kikwete when he took office in 2005, he came to DC, and narrated to him my expirience in Mbeya, asked him if he was going to do something. He gave me his personal contacts, I came to Tanznaia, before I went to mbeya he sent people to clean the hospital I was to visit, years later, the hospital was in terrible situation than before, and here after we donated $500,000.He does not deserve another term in the office, he needs to go.
Wala usipate taabu, mimi nakaa Mtaa wa Lumumba na Udoe, Dar. Njoo tu unakaribishwa. Na kama hiyo haitoshi nambie nikusubiri lini?
Ya Uingereza yametufundisha Acheni kuganga njaa. Maandamano sio suruhisho hata kidogo labda muwe mnataka kuonekana CNN au Ndugu zenu hawajawaona siku nyingi kwa vile hamjarudi. Nauliza watu wengi wanasema na schedule Hizi nani akaandamane???
<br />Nayaona mema anayoyafanya nambie idadi ya mashule wakati, ni rais yupi aliyefanya namna hiyo? idadi ya viwanda, kwa muda wake tayari zaidi ya viwanda 160 vipyaaaaaaaa kati ya 500 na zaidi vinavyojengwa kwa muda huu wake mfupi tu. Mbona hamuyasemi? Mkonga wa mawasiliano wa kisasa kabisa, Tanzania nzima unatandazwa, miko 18 na wilaya zake 56 tayari unatumika.<br />
<br />
Juzi tumeona akizindua Swahili version ya windows 7 na mashule kibao kuanza kufundishwa kwa mtandao, nyie pigeni kelele hakuna walim mwenzenu anahakikisha waalim best wanafundisha kwa mtandao, waalim wataokuwepo shule ni skeleton tu kuhakikisha nidham na mambo ya utawala, uko wapi wewe? halafu kwa yote hayo bado nisiwe na maslahi nae binafsi? unanchekesha.
Pumba hizo.
Where are the apples?
wewe nakushauri fuga mbwa unaoneka huko lonely sana
u know wat i mean
<br />Unafikiri wanao huo ujasiri? wenyewe ni wapambanaji wa keyboard, na wewe peke yako umewashika pabaya sana.