Maandamano ya CHADEMA Mbeya yaruhusiwa

Maandamano ya CHADEMA Mbeya yaruhusiwa

Albert Msando

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,019
Reaction score
171
Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.

Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?

Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?
 
Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.

Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?

Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?

wanataka watu wafe tena.
 
Nilikua nahisi kitu kama hicho kitatokea. Kuna thread ilidokeza tetesi hizo kama siku mbili zilizopita. Jamaa waliojivua magamba wanahofia wasichunwe ngozi.
Chadema wameamuaje? Tuhabarishe pliiz.
 
Kama ni kweli Kazi ya Shitambala inaonekana!
 
Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.

Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?

Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?

CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa
 
CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa

RPC hana mamlaka ya kutoa kibali. Na yeye haombwi kibali bali anapewa taarifa.GB wewe uko katika karne gani? Ama kweli Watanzania wengine hawajijui kama wapo Tanzania.
 
Kwnn haya yanatokea?? Mimi inanigusa hakuna mfano. Cjui nijinyonge,Naombeni ushauri wenu plz!
 
CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa

Jana Regia Mtema alikua anatuhabarisha hapa jamvini kuwa maandalizi yote yako tayari. Kwangu mimi maandalizi makubwa ya maandamano ni pamoja na mchakato wa vibali, hivyo nilitarajia hilo lisiwe tatizo. Labda kwa kuwa ni sababu za "Kiintelijensia"

Hata hivyo kama alivyosema Gurtu, RPC haombwi kibali bali anataarifiwa ndani ya saa 48 kabla ya muda wa kuanza maandamano, ili atoe ulinzi kwa waandamanaji. Sasa inaonekana hawa watu wamegeuza neno taarifa kuwa maombi na kujifanya kuwa wao ndio wenye mamlaka ya mwisho.

Yote kwa yote huyo RPC ameagizwa afanye hivyo kama ambavyo aliagizwa Andengenye.
 
Tungoje viongozi wa Chadema watatujuza,maandamano ni haki ya watanzania kama wanataka ya Uganda yaje hapa nchini wazuie maandamano ninavyo wajua watu wa Mbeya wale akili zao wanazijua wenyewe
 
Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.

Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?

Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?



CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa

Kama kawaida yako ...kudandia dandia .... unasoma mada kwa ushabiki .....mwambie muajiri wako mpya BW. Mukama akufundishe tofauti ya RC na RPC
 
Kama kawaida yako ...kudandia dandia .... unasoma mada kwa ushabiki .....mwambie muajiri wako mpya BW. Mukama akufundishe tofauti ya RC na RPC

Ahaaaaaah, aise kumbe watu wanadandia hawajui wasemalo.
 
Jana Regia Mtema alikua anatuhabarisha hapa jamvini kuwa maandalizi yote yako tayari. Kwangu mimi maandalizi makubwa ya maandamano ni pamoja na mchakato wa vibali, hivyo nilitarajia hilo lisiwe tatizo. Labda kwa kuwa ni sababu za "Kiintelijensia"

Unajua Tanzania sheria inasema kitu tofauti na mambo yanatendwa tofauti. Fikiria sheria inasema Chama cha Siasa kinapotaka kufanya mkutano au kuitisha maandamano kitoe taarifa kwa maandishi (siyo kuomba ruhusa) kwa kamanda mkuu wa polisi wa eneo husika katika muda usiopungua saa 48. Kama CDM wametoa taarifa kadiri ya matakwa ya sheria, na mpaka siku ya mkutano au maandamano inafika ndo polisi wanaibuka na taarifa za kiintelijensia, kasoro ipo kwa nani? Bahati mbaya kwa yale yaliyotokea Arusha, polisi hawakutoa kizuio kwa maandishi bali aliibuka mtu mwingine anayazuia kwa kutumia TV(siyo maandishi) na wala hakuwa kamanda wa polisi wa eneo husika. Hivyo, Tanzania bado mambo hayajakaa sawa.
 
Mambo kama haya ndio yanaifanya CHADEMA ionewe huruma na kila mtu. Ipendwe sana. Serikali hii kweli ni ya CCM? Kuna kila dalili kwamba vyombo vya dola vimeichoka CCM. Ngoja waisaidie CCM kuanguka haraka.
 
Nilidokeza kuhusu uwezakano huo siku mbili zilizopita. Hata hivyo jana nilihudhuria japo kwa kuchelewa kikao cha CDM Mbeya mjini kikwa chini ya Mh Wilfred Lwakatare tukahakikishiwa kuwa RPC ameruhusu maandamano japo kwa masharti, sasa huyu Mwakipesile amepata wapi hizo Intelijensia? Ndio maana tunasema hakuna haja ya wakuu wa Mikoa maana kazi ni kuibeba CCM
 
watuambie hizo sababu za kiintelijensia ni zipi
 
Nimeongea na Regia kwa simu sasa hivi akiwa njiani kuelekea Mbeya, anasema wao kama squad ya Uongozi hawana habari na taarifa hizo,wanaendelea na safari yao, na niweke wazi kuwa imemshitua kidogo nilipomuuliza.
Sijui Kiongozi MsandoAlbert kapata wapi taarifa za tetesi hili!
 
Nilidokeza kuhusu uwezakano huo siku mbili zilizopita. Hata hivyo jana nilihudhuria japo kwa kuchelewa kikao cha CDM Mbeya mjini kikwa chini ya Mh Wilfred Lwakatare tukahakikishiwa kuwa RPC ameruhusu maandamano japo kwa masharti, sasa huyu Mwakipesile amepata wapi hizo Intelijensia? Ndio maana tunasema hakuna haja ya wakuu wa Mikoa maana kazi ni kuibeba CCM

Ni RPC sio RC. All in all huu ni ujinga tu. Maandamano kama haya yamefanyika kungine Tanzania. Huko Mbeya kuna nini?
 
Taarifa zilizopatikana ni kwamba RPC Mbeya amepiga marufuku maandamano ya CDM kwa sababu ya taarifa za kiintelligensia.

Kwa mara nyingine tena watawala wanaingia woga na kuweweseka wakiwafikiria CDM. Kwa nini CDM wawe chanzo cha vurugu? Watu Wa-Mbeya wavuruge amani yao wenyewe?

Au wanataka yarudie ya tarehe 5 January huko Arusha?
Tanzania will continue to perish under the control of these tyrannts .Do we still have a democracy when we ignore the will of the people only to pander to the selfish will of the few??
We should not tolerate a repressive regime that cant stand freedom of Expression.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Wametishwa na kushtushwa mno na hii habari, lakini hawajui ndiyo kwanza wanakoleza!!!!!!

Egypt's ex-interior minister sentenced
Habib al-Adly, the face of the crackdown on pro-democracy protesters, convicted for money laundering and profiteering.



Egypt's former interior minister, Habib al-Adly, has been sentenced to 12 years in jail for money laundering and profiteering, according to judicial sources.

Habib al-Adly, hated for the brutality of his police by the protesters who ousted President Hosni Mubarak in February, is one of the most senior Mubarak-era ministers to be put on trial.

His conviction in a Cairo court - coming as Mubarak and his sons are being quizzed for abuse of office - highlights the desire of the generals who now rule Egypt to show their commitment to cracking down on abuse of power and corruption.
Al Jazeera's Rawya Rageh, reporting from Cairo, said the charges were "really at the heart of the request by the protest movement; protesters had been urging the prosecution of these men - former regime officials - in what has been described as a cleansing campaign of state institutions".

"This is going to be welcomed by the protest movement," said our correspondent.

"But still the country's new military leaders despite [their] attempts to bring back the money that was squandered by these men, and to hold these officials acountable, they're still being criticised for moving a little bit too slowly for the protesters' taste."

Al-Adly has been accused of selling land to an interior ministry contractor "illegally and received more than $700,000 dollars in kicks", our correspondent said.

"On Thursday the judge ordered that amount confiscated and also ordered the former interior minister to return more than $2.3m that he had illegally acquired in just three months before the revolution [which toppled Mubarak," she said.

"He was interior minister for 14 years and despite repeated campaigns against him by activists over a lot of accusations and not least of which is brutality and overseeing systematic torture al-Adly was never questioned and managed to retain his position for all these years."

Many Egyptians had been closely watching the fate of Adly, one of the most controversial members of the administration of Hosni Mubarak, because of the crackdown by his police force during the uprising.

Abdallah Schleifer, professor emeritus at the American University in Cairo, told Al Jazeera from London that the charges people are more concerned about involved ordering "security forces to open fire on unarmed demonstrators".

Schleifer said the former minister was "responsible for setting up snipers", adding that "basically the charges he has yet to stand trial for are far more serious".

Source:
Al Jazeera and agencies
 
Back
Top Bottom