Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Kweli tunataka mabadiliko! watanzania hatuombi bali tunataka katiba mpya kwa lazima! haki haiombwi mahali popote! haki inadaiwa!

Suala la katiba mpya sio mjadala tena. Serikali sikivu, kama Mh. Mbowe alivyoiita, imeridhia kwa moyo mmoja. Lililobaki ni wananchi kutulia na kutafakari kwa kina namna katiba mpya inavyopasa kuwa. Nafasi hii ni mhimu sana kwetu
 
libya wamepata zaidi ya hivyo unavyo sema uchumi nia mrama 11 kutuzidi!! Kachunguzwe akili, naskia kuna orodha ya wana ccm ambao wamechukuliwa mizukule na shekhe yahya, sije kuwa we ni mmoja wapo?

Taratibu ndugu zangu tuvumiliane hiyo ndiyo raha ya demokrasia na uhuru. TUongee lugha laini ujumbe mzito.
 

Mimi nadhani juhudi zetu zingekuwa ni kushiriki katika kuunda katiba mpya itakayotoa suluhisho la kudumu. Maandamano yakizidi sana wananchi hatutakuwa na utulivu wa kutosha kuweza kutoa mchango mzuri katika uundaji wa katiba mpya.
 
cha msingi nini wewe mshamba tu kwani wanaoandamana sio wana jamii? muhuni wewe na mkeo
mkuu unaonekana unaendeshwa na jazba,:a s 13:matusi ya nini? Jibu hoja kwa hoja!!!
 
Kwa hali ilivyo ni lazima watu waingie mtaani ili kupata barabara, hospitali, shule bora n.k kama ulivyo tambua.
Haki yako hupewi - unaichukua kwa nguvu.

Lakini katika mijadala yetu huko nyuma na hoja za wanaharakati matatizo haya tuliyonayo yatatatuliwa kama tukiandika katiba mpya itakayojenga Tanzania mpya. Serikali imekubali katiba mpya na wananchi wamekubali. Kwa nini badala ya kufikilia njia za kubahatisha za shoti kati tusiitumie hii furusa kuandika katiba nzuri iatakayojenga Tanzania mpya isiyo na umasikini na ufisadi?
 
You have raised important points but the truth remains and that is change require force - in science or sociology.

True, but force can be naked or clothed. Unless it is in emergence situation, legitimate change is that which is brought by clothed force.
 

Ndugu zangu tujadiliane, kulumbana na kubishana kadili tutakavyoweza lakini tusisahau kuzifunga speed governor ndimi zetu zisije kutoa maneno ya kijinai na yenye madhara. Kusema CCM au chama chochote au mtu yoyote kwamba amelipua mabomu ya Gongolamboto kwa makusudi ni kauli nzito. Ujuwe kwamba wapo tuliopoteza ndugu zetu wapendwa na wapo tuliopata majeraha makubwa. Maneno yoyote yanayoashiria kutaja kiini cha ulipukaji wa mabomu ni very sensitive na hayapaswi kusemwa kiutani utani bila kuwa na ushahidi.
 
maandsamano ndiyo njia pekee iliyobaki ya kuwangoa mafisadi ,chadema songa mbele tumenyanyasika sana ,
 
Ni mwanzo mzuri wa vyama kufanya kazi za siasa bila kuingiliwa - vuguvugu hizi za kisiasa zinasaidia ku-articulate hisia na mawazo ya wananchi juu ya utendaji wa serikali; serikali makini italichukulia hili kama changamoto badala ya upinzani au uchochezi....
 
Kati ya watu wanaohitaji kuombewa na atolewe pepo wachafu ni ze marcopolo !!!!Hawa ni watu ambao akili yao haina akili.Bora uwe na mbuzi 6 utakula nyama lakini sio mtu mmoja wa kaliba hii!!!Wewe una upeo na maono kuliko maelfu ya watu hao!!Wenye elimu(slaa),wako hapo,wenye hela(mbowe,ndesambulo),wako hapo tusio na kitu tuko hapo tukidai maisha bora,umebaki wewe tu!!!wewe AMKA utoke shimoni!!!Ushindwe na ulegee kama umetumwa kawaambie tuko macho na bundi hatui juu ya bati
 
Hivyo wavihitajivyo yapatikana kwa kagoda,deep green,meremeta au malipo ya dowans? kungekuwa na serikali makini isoendekeza ufisadi yote yawezekana. msoandamana mna barabara hospitali na shule bora? una elimu kiasi gani hadi usielewe ukosefu wa maendeleo unatokana na nini?
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!
Hhahahaha...Pale unapotaka kutukana lakin unashindwa kutukana na wivu wakutaka ingekuwa ni mafanikio ya upande uliopo...halafu unajikuta huko ulipo ndio hovyoooooo...Badilika nduguuu,Usingoje kubadilishwa...Siku utakayotaka kubadilika utajikuta umechelewa na kujutia muda uliopeteza...Tehhe..Nikuulize swali....We umefanya nini hata kimoja kusaidia jamii ambacho unaweza kujivunia au ambacho jamii inashukuru kwa mchango wako...ukianzia hapo kwako binafsi utaweza kuongeza nguvu katika kikundi ambacho unakiunga mkono.
Kumbuka Ili kujarubu kupata haki yetu Watanzania katika uongozi huu wa Thithiemu inabidi tutumie kanuni ya ng'ombe ya kupiga kelele ndipo watajua tunasikia kiu...Bila hivyo tutafia zizini....TAFAKARII NA KISHA CHUKUA HATUA SIO KUPINGA TUU...AGGGGHHRRRH..!!!Weee viippi!!
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
Kama watu hawataki maandamano mbona wamekuwa wakifurika kila sehemu? Hivi wewe mwana-CCM husomi upepo, hukuona jinsi Makamu wa Rais alivyokosa watu alipotembelea Mbeya hivi juzi? Kwa nini Makamu wa rais akose watu halafu CHADEMA wakusanye watu wengi? Akili kichwani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…