gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,277
- 17,749
Akili hana huyo, nilikua namuona wa maana na busara kumbe bure tuMaandamano ya amani yenye lengo la kuangusha serikali. Uliwahi yaona wapi Mkuu?
Akili hana huyo, nilikua namuona wa maana na busara kumbe bure tuMaandamano ya amani yenye lengo la kuangusha serikali. Uliwahi yaona wapi Mkuu?
Nyie mnaosema mlikaa ndani mkapigwa risasi ...ikawaje mlifufuka? Mbona siye tulitii amri tulikaa zetu ndani hatukufuatwa kupigwa risasi? Au ulikimbilia ndani baada ya kuchoma sheli na kuiba mitungi ya gesi wakakuona?Ukikaa ndani unapigwa risasi ,ukitoka unapigwa risasi ila angalau upo field ila pia uwezo wa kupona ni mkubwa , so bora kutoka tu.
Ushauri hata kama maandamano vyoyote vile yatakua ,ila barabara kuu zinazo ingia kila mkoa zifungwe.
Police ndo huanzisha vurugu so iyo siku maandamano yalindwe na jwtz tu ,
Inatakiwa siku iyo ni jwtz na waandamanaji kwenye barabara basi ,
Sio mbaya wenginge mkiendele kujitolea kupika masufulia ya wali ,maji , Ugali, mikate n.k kwa ajili ya waandamanaji.
Maduka fungeni wekeni katoni za maji, vitu vidogo kama biskuti ,au pipi wape waandamanaji , na msiwe mbali na mali zetu ili kusaidiana na nao kudhibiti waporaji,
Aisee nitolee upumbavu , mimi nimepoteza vjana wangu wawili na hawakuwa kwenye maandamano, funga mdomo wako mchafu unaonuka pumbavuNyie mnaosema mlikaa ndani mkapigwa risasi ...ikawaje mlifufuka? Mbona siye tulitii amri tulikaa zetu ndani hatukufuatwa kupigwa risasi? Au ulikimbilia ndani baada ya kuchoma sheli na kuiba mitungi ya gesi wakakuona?
Kama Una hasira Sana toka tarehe 9 upotee na wewe ...hao vijana wako uliwatuma wakachome sheli za watu?Aisee nitolee upumbavu , mimi nimepoteza vjana wangu wawili na hawakuwa kwenye maandamano, funga mdomo wako mchafu unaonuka pumbavu
Hii ya kidini inaonekana ni dhahiri hasa kwa kuwatumia masheikh wapuuzi wapuuzi.Imekaa kimtego haswaaa, ila mm my take naona;
Serikali sasa hv haitoweza kuchukua hatua zozote kali kwasababu wapo pabaya sana ..kila camera inaangazia nn kinaendelea Tanzania....vyombo vya nnje vipo on high alert hasa baada ya kusikia nn kimetokea wiki kadhaa zilizopita. So sidhani kama watafanya waliyoyafanya, zaidi ya kutumia measures za kawaida tu za kutawanya watu, maybe mabomu ya machozi and such. So ishu sasa hv ipo mikononi mwa wananchi na ndio maana njia pekee imebaki, ni kuwagawanya wananchi wasiwe na umoja, iwe kidini, kikabila au whatever.
Usinifundishe cha kufanya , nani hatakufa , hata hao wauwaji si swala mda yatakufa mdomo wazi ,asema BwanaKama Una hasira Sana toka tarehe 9 upotee na wewe ...hao vijana wako uliwatuma wakachome sheli za watu?
Bwana yupi aliyekuambia upingane na mamlaka ..bwana gani alikwambia ukachome sheli za watu kisa wewe ni masikini? Au bwana gani alikwambia ukaibe kwenye maduka ya watu pindi ukiandamana tutajie jina la huyo bwana? Au ni bwana gani huyo aliyekuambia Samia anapanda mwendokasi choma vituo ili apate shida ya usafiri?Usinifundishe cha kufanya , nani hatakufa , hata hao wauwaji si swala mda yatakufa mdomo wazi ,asema Bwana
Wewe ni mpuuzi , na laana ya Mungu ukufutilie mbali kuanzia unyao wako mpaka utosi , wako , ukoo wako wote uwe juu ya laana hii na imekua,Bwana yupi aliyekuambia upingane na mamlaka ..bwana gani alikwambia ukachome sheli za watu kisa wewe ni masikini? Au bwana gani alikwambia ukaibe kwenye maduka ya watu pindi ukiandamana tutajie jina la huyo bwana? Au ni bwana gani huyo aliyekuambia Samia anapanda mwendokasi choma vituo ili apate shida ya usafiri?
Nyie watumishi wa gwajiboy mna shida hapo kichwani aisee! Ina maana hujui nchi ilikuwa kwenye state of emergency? Hiyo ni bahati mbaya .....mlipoanza kuchoma Mali za watu na za umma ndipo madhila yakawapata hata wasiokuwamo kwani waandamanaji mlikuwa na alama maalum usoni? Na hiyo laana ikurudie mwenyeweWewe ni mpuuzi , na laana ya Mungu ukufutilie mbali kuanzia unyao wako mpaka utosi , wako , ukoo wako wote uwe juu ya laana hii na imekua,
Yule mtangaji wa cloud alikua anachoma sheli ya nani , ya baba yako au ya mama yako
Imekaa kimtego haswaaa, ila mm my take naona;
Serikali sasa hv haitoweza kuchukua hatua zozote kali kwasababu wapo pabaya sana ..kila camera inaangazia nn kinaendelea Tanzania....vyombo vya nnje vipo on high alert hasa baada ya kusikia nn kimetokea wiki kadhaa zilizopita. So sidhani kama watafanya waliyoyafanya, zaidi ya kutumia measures za kawaida tu za kutawanya watu, maybe mabomu ya machozi and such. So ishu sasa hv ipo mikononi mwa wananchi na ndio maana njia pekee imebaki, ni kuwagawanya wananchi wasiwe na umoja, iwe kidini, kikabila au whatever.