mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Wadau wa JF na watanzania wote kwa ujumla.
Jumapili hii kutakuwa na maandamano ambayo hayajawahi kutokea ndani ya Tanzania hii.
maandamano haya yatakuwa ya kupinga bei mpya ya umeme inayotarajiwa kuanza hapo
tarehe 15 this month.
Maandamano yataanzia mtaa wa Samora na azikiwe (picha ya askari) kuanzia saa 4 asubuhi
na yataelekea Tanesco makao makuu pale ubungo ili kuwakilisha kilio chetu ktk maandishi na
mabango. Kwa yeyote atakayependa kuudhuria tunaomba asivae vazi la chama wala asije na
bendera ya chama chochote cha siasa.
Ombi letu kwako ni : tutashukuru kila mtu mzima akija na watoto 2 au 3 wenye umri chini ya
miaka 8 au uje na mlemavu yeyote wa viungo (wa kutambaa). Lengo letu kuu ni kuwatangu
liza hawa waremavu na watoto wadogo front line ili polisi wa magamba washindwe kumimina
risasi au maji ya kuwasha....na sisi wakubwa tutakuwa nyuma yao hadi pale Tanesco ubungo.
Upatapo habari hii waambie majirani,marafiki na wafanyakazi wenzio hapo ofisini.
Tunakuomba uje na bango kubwa lenye ujumbe mzuri kwa Tanesco na Serikali.
Tanzania bila uoga inawezekana....Mungu mkubwa,kwa pamoja tutashinda!. Source:mimi mwenyewe
Jumapili hii kutakuwa na maandamano ambayo hayajawahi kutokea ndani ya Tanzania hii.
maandamano haya yatakuwa ya kupinga bei mpya ya umeme inayotarajiwa kuanza hapo
tarehe 15 this month.
Maandamano yataanzia mtaa wa Samora na azikiwe (picha ya askari) kuanzia saa 4 asubuhi
na yataelekea Tanesco makao makuu pale ubungo ili kuwakilisha kilio chetu ktk maandishi na
mabango. Kwa yeyote atakayependa kuudhuria tunaomba asivae vazi la chama wala asije na
bendera ya chama chochote cha siasa.
Ombi letu kwako ni : tutashukuru kila mtu mzima akija na watoto 2 au 3 wenye umri chini ya
miaka 8 au uje na mlemavu yeyote wa viungo (wa kutambaa). Lengo letu kuu ni kuwatangu
liza hawa waremavu na watoto wadogo front line ili polisi wa magamba washindwe kumimina
risasi au maji ya kuwasha....na sisi wakubwa tutakuwa nyuma yao hadi pale Tanesco ubungo.
Upatapo habari hii waambie majirani,marafiki na wafanyakazi wenzio hapo ofisini.
Tunakuomba uje na bango kubwa lenye ujumbe mzuri kwa Tanesco na Serikali.
Tanzania bila uoga inawezekana....Mungu mkubwa,kwa pamoja tutashinda!. Source:mimi mwenyewe