CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
Wakuu nimepokea simu mbalimbali usiku wa kuamkia leo vijana zaidi ya 50 wamekubaliana kuandamana mpaka ofisi za UHAMIAJI wakitaka kujua hatma yao.
Lengo la maandamano ni kuitaka TUME ieleze WANGAPI walipita KIHALALI...
Kama wewe si MZANDIKI tafadhali ungana nasi kwenye haya MAANDAMANO siku ya JUMATANO wiki Hii.
Huu UJUMBE tayari umesambazwa kwenye majina ya waliokuwa wameitwa kwenye AJIRA.
Lengo la maandamano ni kuitaka TUME ieleze WANGAPI walipita KIHALALI...
Kama wewe si MZANDIKI tafadhali ungana nasi kwenye haya MAANDAMANO siku ya JUMATANO wiki Hii.
Huu UJUMBE tayari umesambazwa kwenye majina ya waliokuwa wameitwa kwenye AJIRA.