jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,232
- 2,884
Maandamano yametokea maeneo mbalimbali Huko mwanza nje ya ofisi za NACTE kudai majibu yao yaliyo cheleweshwa kutoka tangu walipo apply tarehe 31Agust
Chanzo:cloudsfm
Chanzo:cloudsfm
Baada ya maandamano wamejibiwa nini kama suluhisho?!?Maandamano yametokea maeneo mbalimbali Huko mwanza nje ya ofisi za NACTE kudai majibu yao yaliyo cheleweshwa kutoka tangu walipo apply tarehe 31Agust
Chanzo:cloudsfm
Inashangaza na inaleta hasira yani ko sisi was diploma hatuna vigezo au ndo tutakuwa Wa mwisho, eti serikali ya hapa Kazi tu kwel!!!!. Na waziri yupo, mmh yetu machoHad sasa hatujui chochote na Kuna vyuo vimeshatoa majina ya form six sis tumekaa tu, sasa Tena form six walipewa karibu miez miwili ya appl cye tulipewa wiki mbili Hao form six profile zao washapewa selection mbaya Zaid tcu ikasema imemaliza kudaili wanafunz first selection wa form six kias fulani wakat wa diploma hatujui kinachoendelea, had sasa kimya hakuna tangazo lolote nacte linalozungumzia cye wa diploma afu wameshusha gpa tumefurah watu wafanye appl sasa Hao wa first selection hawajui kama wamechaguliwa au la, je ikitokea mtu kakosa first selection je nacte itatoa nafas nyingine na ni Lin wakat Muda umeisha, je watajaza Tena form Za mkopo? Serikali yetu iangalie na Hilo kwa undani
VileVile wengine tumetokea o level tukachagua technical college xo wasituzingue kama walijua ndo hivyo wangetupeleka A levelSis wanawaza tulifeli wakat tuna maxs nzur tu na GPA nzur , wangekua wanasoma hiz koment labda wangebadilika mana tunakua kama c wadiploma tunaserikali yetu na form six wanaserikali Yao inauma sanaa
N kwel kabisa bro sio hakiNi juzi tu nimetoa tahadhali juu ya hili katika post hii
Wanachotendewa Equivalent students na TCU hakina usawa
Serikali inatakaiwa ijipange upya kupitia vyombo vyake TCU na NACTE
Sasa ukiandamana suluisho c lazima lipatikane je nn wamejibiwa walioandamana maana tunacho kiwaza mpaka sasa, system yao kama holder wa diploma na form six ni taifa tofauti!!!??? sikudhani kama haya hufanyika hapa nchini hata celewi ukienda kwa profile saiv unakuta update qulifications sijui haya mambo yataisha lini.Bora wameandamana mana tunaburuzwa wakat Ela tulitoa kama Hao form six hatutendew haki