Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
- Thread starter
- #21
Kichuguu,Maandamano hayo hayakuwa na msingi wowote bali yalikuwa ni chanzo tu cha kuchochea hasira za kisiasa kupitia dini kwani ilitakiwa ijulikane wazi kwa waislamu wote kuwa maoni ya Sofia kwenye UWT hawawezi kubadilisha msaafu unaotumiwa duniani pote. Yalichangia kuonyesha sense of insecurity kwa wafuasi wa dini hiyo.
Naelewa kwa nini kwako unaona kauli ile ni nyepesi.
Wala sikulaumu.