Maandamano D9: resiliency pekee ndo itawatoa watawala

Maandamano D9: resiliency pekee ndo itawatoa watawala

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,384
Reaction score
2,081
Wakuu kuelekea D9 kuna angalizo muhimu hapa. Mafanikio yamejengwa kwenye msingi wa uendelevu na kushikilia bomba. Wanajeshi wala polisi hawatawazuia waandamanaji kwenda Ikulu. Wanajeshi wamejiapiza kuzuia vurugu tuu hivyo endapo waandamaji hawatosababisha vurugu basi mwendo wa Ikulu utakuwa dhahiri.

Na hata kwenye vurugu wao watatuliza bila matumizi ya nguvu kuputa maelezo bali kwa kiasi ili ratiba za maandamano zoendelee.

Suala ni ikiwa waandamanaji wakafika Ikulu na jumbe zao, wataweza kuwa pale kwa muda gani?

Watakula nini na kunywa nini kwa muda gani? Kutakuwa na shifti au nani atawaletea chakula?

Endapo waandamanaji watakaa pale Ikulu kwa siku hadi tano basi uwezekano wa bibi kizimu atimue vumbi atoke nduki.

Resiliency guys. Resiliency guys
 
Watu Wamepigwa risasi huko arusha wakiwa wamekaa tu, wengine October 29 walikuwa ndani.

Kitu ambacho hukijua issue hapa sio kufanya vurugu watu watazuiwa sio kwasababu ya vurugu watazuiwa kwa sababu ya mafisadi kutaka kung'ang'ania madaraka.

Hili la vurugu ni kisingizio tu, lakini maandamano haya ya #D9 hayatokosa vurugu kuna watanzania wengi waliuwawa October 29 huwezi kusema kutakuwa kibubu bubu
 
Back
Top Bottom