Mhe. Benson Kigaila akizungumza na Waandishi wa habari leo hii amesema,
"Maandamano ya amani Jijini Mwanza yatafanyika tarehe 15 Februari 2024 badala ya tarehe 13 Februari 2024"
Your browser is not able to display this video.
CHADEMA imesema mabadiliko hayo yamekuja baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela kuwaeleza kuwa Uwanja wa Furahisha utakuwa na matumizi mengine Februari 13.