SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,032
Wadau kuna maandamano kupinga kile kinachoendelea Mashariki ya kati.
Wapalestina wa hapa Dar na jamaa zao wametanda barabarani wakielekea njia kama unaenda Magomeni ukitokea hapa Ilala Boma,maandamano haya ni ya amani.
Nimesikia mtoto akiimba mashairi ya kuelezea jamii ya Kipalestina ilivyo mashakani.
Wapalestina wa hapa Dar na jamaa zao wametanda barabarani wakielekea njia kama unaenda Magomeni ukitokea hapa Ilala Boma,maandamano haya ni ya amani.
Nimesikia mtoto akiimba mashairi ya kuelezea jamii ya Kipalestina ilivyo mashakani.