Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Duh....sasa inakuwaje kwa sisi tusiotumia hivyo alcholic drinks...

Tunajiandaaje Sasa?
 
Vilevi hivyo ndio vibasababisha wanaume uwezo kupungua au kuisha kabisa..utakuwa na nguvu kama povu la soda,muda unavyokwenda zinapungua hadi kuisha kabisa..unaweza piga mambo kwa muda mrefu ndani ya kupindi kifupi hadi mtu akatoa mbolea nakutoa mlio kama fiat inapanda mlima ila hakika nakuambia kipindi kirefu kijacho hadi kufa utakuwa hauna nguvu hata yakufanya machine iwe inasimama yenyewe asubuh ukiamka hadi uipige jeki..kwa hiyo siyo sifa kwa maendeleo ya afya na uanaume wako...
Mwambie dogo anajimaliza mdogomdogo
 
Back
Top Bottom