Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Vilevi hivyo ndio vibasababisha wanaume uwezo kupungua au kuisha kabisa..utakuwa na nguvu kama povu la soda,muda unavyokwenda zinapungua hadi kuisha kabisa..unaweza piga mambo kwa muda mrefu ndani ya kupindi kifupi hadi mtu akatoa mbolea nakutoa mlio kama fiat inapanda mlima ila hakika nakuambia kipindi kirefu kijacho hadi kufa utakuwa hauna nguvu hata yakufanya machine iwe inasimama yenyewe asubuh ukiamka hadi uipige jeki..kwa hiyo siyo sifa kwa maendeleo ya afya na uanaume wako...
 
We jiandae, na mwangalie shemeji nae anajiandaa kabisa hapa, kwahiyo mechi ikiwa suluhu sishangai

10868218_1762606460631204_269073258012056719_n.jpg
 
mchanganyiko wa vilevi vyote hivyo usipojikunyea wewe mgonjwa. Wakati unasukuma goli unashtuka umesukuma na choo, chezea mchanganyiko wa mrungi konyagi na bia, alafu unasukutua na bangi kidogo, kama ni usiku utaona nyota zote ziko karibu na kichwa chako, unatembea umeinama ili usizigonge

hahaaaaaaa.. jaman mbavu zangu
 
Utaishia kufanya hivi tu, ukija pata fahamu timu pinzani imeshaondoka uwanjani unabaki kujuta tu.

 
watu wamenijia juu kama vile nafanya kweli, hapo nimeweka hiyo picha kufurahishana tuu kwa comments
 
Mi ndo.namalizia kesho nikapige pepa
 

Attachments

  • 1419184939208.jpg
    1419184939208.jpg
    88.6 KB · Views: 215
Back
Top Bottom