Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Maandalizi ya mechi ya leo usiku

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,739
524281_360834353977419_100001525728048_1006564_263142349_n.jpg
 
kumbe unakunyaga

kama nakuona vile
mchanganyiko wa vilevi vyote hivyo usipojikunyea wewe mgonjwa. Wakati unasukuma goli unashtuka umesukuma na choo, chezea mchanganyiko wa mrungi konyagi na bia, alafu unasukutua na bangi kidogo, kama ni usiku utaona nyota zote ziko karibu na kichwa chako, unatembea umeinama ili usizigonge
 
ukimaliza hizo ata hilo goli sidhani kama utaliona... utapiga mipira nje tu!!!
 
vyote hivyo ni vyanzo vya kuwa na kia la kondoo...
 
Na huyo unaoenda kumfunga kazi anayo yani harufu ya mipombe bado sigara na mdomo mirungi?Uwiii kuna watu wana kazi
 
Back
Top Bottom