Maandalizi ya kuchomwa moto.

Maandalizi ya kuchomwa moto.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
mwizi.jpg
 
Kafanya nini tena maskini mzee wa watu...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
I don't like this they call it mob justice

Hii ni beyond mob justice, Hii ni JUNGLE JUSTICE. Utu hakuna kabisa siku hizi watu wanaishi kama wanyama. Mungu zisamehe roho zao kwakuwa hawajui walitendalo.
 
Amekosa nini mtu huyu mzee hata akapewa adhabu ya kifo cha moto?

Kisa na mkasa alimuibia mtu mtaani wezake aliokuwa nao wakafanikiwa kukimbia wananchi wenye asila kali wakamdaka yeye.
 
Back
Top Bottom