Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,827
- 110,077
nawaonea wivu na stress nliyonayo bora ningekuja kujumuika maana leo imeisha sijafanya kitu.nauhakika mpaka j3 sijafanya kitu
mmh na umekosa mengi dear wangu...hapa tupo beach kuna upepo mtamu.
nawaonea wivu na stress nliyonayo bora ningekuja kujumuika maana leo imeisha sijafanya kitu.nauhakika mpaka j3 sijafanya kitu
Jamani ni furaha iliyojeeeeeer!!!!!!!!!!!!!
WanaJF wa Rock City na viunga vyake tafadhalini tujumuike mnamo tarehe 1 kusherehekea ushindi....
Wapi kwanza @C6, Chimbuvu, mgeni wetu Nicas Mtei, mama ya ukweee Elizabeth Dominic, Evelyn Salt??????
Bila kumsahau my new sis beibe nasty tafadhalini msiniangushe..... Karibuni nyoote!!!!
Wale wengine ambao sijawataja lakini wapo The Rock City karibuniiiiiiii
bila kunisahau half italian half msukuma, nimetua jana mwanza ntakuwepo mpaka mwaka mpya kabla sijarudi, hope mtanialika sherehe
Karibu sana mkuu!!!
grazie charminglady, spero che ci incontreremo prima di lasciare Mwanza,
sorry nimejisahau nimeandika italiano, nimemaanisha nitafurahi kuonana na wewe kabla sijaondoka mwanza
amu mie nina amu mwenzio
una amu?au hamu sijaelewa
Yaaanx dad wala usihofu
watu8 tafadhali niangalizie my Blaki Womani!
Karibu sana mwanangu beibe nasty, dada zako charminglady, sweetlady, WiseLady na kaka yao Davie S.M wanakupokea kwa shangwe bila kumsahau daddy dearest the Nobel husbands prize winner watu8.
ngoja nami nijoin kambi ya ushindi, cheers charm lady!
Nahene lolo!!!!!! Doho tabu.... Hope hujasahau kisukuma.
Nilifichwa PM mama!
Weraweraaaaaa
ngoja nami nijoin kambi ya ushindi, cheers charm lady!
Karibu sana mwanangu beibe nasty, dada zako charminglady, sweetlady, WiseLady na kaka yao Davie S.M wanakupokea kwa shangwe bila kumsahau daddy dearest the Nobel husbands prize winner watu8.
mkuu rada hazikamati kabisaaa...watu wameta Muheza kwa babu kabla ya kufika Tanga mjini, yaan wanadisappear bila kuonekana.