Jamani wanasema kuuliza si ujinga neno PM huwa naliona lakini nimeshindwa kujua maana yake ninini wengine wanasema hebu ni PM kwa nia ya kutumiwa kitu fulani mie nimeshindwa kwa vile sijui maana yake na inatumikaje
PM = Private message
LOL = Laugh Out Loud
LMAO = Laough My Ass Out
LMFAO= Laugh My ****ing Ass Out
FWB = Friends With Benefit
DWM = Dating without Money
BFF = Be Friends Forever
Nimekuongezea na hizo nyingine zitakusaidia sana kwenye hizi social networks. Good luck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.