Tasnia ni jumla ya rasilimali na watu wanaozalisha, wanaonunua, wanaonufaika na wanaosaidia mrengo fulani wa huduma/kazi/taaluma.
Kwa mfano tukisema tasnia ya filamu tunamaanisha wazalishaji, wateja, wasambazaji, serikali pamoja na rasilimali wanazotumia kuzalisha, kusambaza na kufikisha bidhaa ambayo ni filamu.