Maana ya Mbagala kwa Wageni wa Jiji

Maana ya Mbagala kwa Wageni wa Jiji

ChaterMaster

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2009
Posts
1,623
Reaction score
808
Wakuu juzi katika mihangaiko ya hapa na pale ndani ya jiji letu hili nlijikuta nko ndani ya DCM Toyota la Mbagala Rangi3 likiwa limeshehen nyomi la watu; sasa kwenye daladal kam mnnavojua hakukosekan story 2,3
Akaibuka mama mmoja anadai et watu wa Mbagala wabadilishiwe jina hlo maana uhalisia wake sio mzuri ulitokana na historia ya kipind cha nyuma uliokuwa unamaanisha..
MBA-Mbali na mji
GA-Gari hakuna
LA-Lami hakuna
Sasa wadau mwenyew nlkuwa cjui basi ndo nikajua historia hyo fupi ila nkaona nwashirikishe kujua kama ina ukwel wowote au mama aliamua kutupiga fx maan wengi kweny daladal tulikuw vijan wengi , watu wazima wachache.
Nawasilisha..!
 
Wakuu juzi katika mihangaiko ya hapa na pale ndani ya jiji letu hili nlijikuta nko ndani ya DCM Toyota la Mbagala Rangi3 likiwa limeshehen nyomi la watu; sasa kwenye daladal kam mnnavojua hakukosekan story 2,3
Akaibuka mama mmoja anadai et watu wa Mbagala wabadilishiwe jina hlo maana uhalisia wake sio mzuri ulitokana na historia ya kipind cha nyuma uliokuwa unamaanisha..
MBA-Mbali na mji
GA-Gari hakuna
LA-Lami hakuna
Sasa wadau mwenyew nlkuwa cjui basi ndo nikajua historia hyo fupi ila nkaona nwashirikishe kujua kama ina ukwel wowote au mama aliamua kutupiga fx maan wengi kweny daladal tulikuw vijan wengi , watu wazima wachache.
Nawasilisha..!

Mh! mkuu huenda ni kweli au inaweza kuwa ni fix tu japo hata mimi nishawahi kuambiwa kwamba eti sehemu inayoitwa kinondoni imetokana na maneno mawili; kiuno na ndooni na hivyo kuunda neno kiunondooni yaani kiuno kwenye ndoo, na kwamba mwananyamala eti chanzo chake ni lugha ya kizaramo ambapo neno mwana ni mtoto, na kwamba neno nyamala maana yake ni nyamaza na hivyo kuleta maana ya mtoto nyamaza. Haikuishia hapo tu balinikaendelea kuambiwa kuwa eti neno msasani nalolimetokana na majina ya mtu aliyekuwa anaitwa Musa Hassan. Mwingine piaaliwahi kuniambia kuwa Mikocheni limetokana na jina la Gavana mmoja aliyekuwa akiishi eneo hilo ambaye jina lake aliitwa Michael cheni. Sasa sijui madai hayo yana ukweli wowote au la, kwa sababu hata mimi mwenyewe napata shida kuyaamini harakaharaka labda wanajf watusaidie.
 
Back
Top Bottom