Maana ya k katika viwango vya fedha

Maana ya k katika viwango vya fedha

GIPAMA

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
1,103
Reaction score
543
Wadau habarini za weekend.........
Kuna issue hapa inanidatiza, sijui inamaana gan na mwanzilishi wake ni nan?
Mfano, watu wamekuwa wakitumia herufi "k" kuashiria kiwango cha fedha......
Mfano; mtu unaweza kumuuliza posho unalipwa shilingi ngap? Anakwambia ama anakuandikia 100k akimanisha laki moja.

Je, k husimama kama nini?
Kirefu chake ni kipi?
Na kina maana gan kwenye viwango vya fedha?

Asanteni.
 
K = 1000, kwa hiyo100k ni sawaswa na 100 ×1000 =100,000 hance 100k = laki moja
 
Hata Kadogo ya Ally Kiba mpaka sasa ina 15K likes kule youtube sa sijui ndo ngapi hiyo
 
Hyo ya pesa ndio kilo nn sasa?
Hiyo kwenye pesa sio official... ndo maana huwezi kukuta bank zinaandika hivyo....
Hiyo ni ubunifu tu wa watu katika kutaka kufupisha hizo tarakimu...

100k kiusahihi kwa lugha ya fedha inaweza andikwa 0.1M..m ikisimama badala ya million
 
Back
Top Bottom