Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,374
- 5,588
Mkuu hujui kama kweny pua Kuna capillaries nyingi ambazo hupasha joto hewa ili iingie kweny trachea ikiwa na uvuguvugu lakn unapojifukiza mvuke kwanza hewa inakuwa ina contains kias kubwa na maji na kwa sabab ni hewa ya moto Kuna hatar pia Kupasua blood vessels kweny pua au tranche huoni ilo ni tatizo??Suala la kujifukiza mbona ni la kawaida Afrika!
Kwa sisi tuliokulia vijijini na tulioishi na wazee wa zamani,kila tunapopatwa na homa ya aina yeyote ile huwa tunafukizwa nyungu.
Hata Mapepo hukimbia kwa Nyungu na mafusho.
Suala la kussema Temperature kuathiri ngozi,inategemea na umakini wa wa ufanyaji wa kufusha.
Khusu kuathiri mfumo wa kupumua,hilo halijawahipo kusikika huku kwetu,kwani Nyungu ni miti maalumuinayofahamika kwa tiba, haina fumes enye Madhara ya papo kwa papo.
Labda Daktari atuthibitishie kwa data na reserch iliyofanywa na kugundulika madhara ya aina fulani ya muda mrefu.
Bado Magufuli yuko Very right kwa hili.Hizi ni tiba zetu za Kiafrika,kwa vile hakuna tiba rasmi 'yet'
Ni vile tu tunafanya vitu kienyeji lakn kitaalam hicho kitu ni kibaya kwa respiratory system 🙏