Maamuzi ya mwanaume wa kweli haya hapa.

Maamuzi ya mwanaume wa kweli haya hapa.

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,201
Reaction score
29,766
Wadau mpo poa?nisiwachoshe ipo hivi,nimeishi mbali na demu kwa muda mrefu sn,nimemtoa mbali kimaisha hadi kufanikiwa kwake.

Leo ss nimefika anapoishi hakika nimegundua kitu.Ana mtu tena si mmoja,hili ni asilimia 100 halina ubishi na ushahidi nimeupata tayari.

Maamuzi:Namgonga mimba then atajijua mbele ya safari.Wamezoea hawa watoto,nitakuja wapa mrejesho.

NB,Sitaki ushauri nawapa taarifa tu.
 
Kwahiyo kwa akili yako ukirutubisha mayai then mimba ikatokea baadae ukakimbia bila kushirikiana kupata mtoto ndo utakuwa mwanaume wa ukweli?

Mwanaume wa ukweli hakimbii majukumu ya kulea mtoto.
 
Hahahahaha nna kaushauri kangu sijui nikupe?
 
NB,Sitaki ushauri nawapa taarifa tu.[/QUOTE]

taarifa tumezipata ila na wewe ujue
...ukimgonga ujiandae kumtunza mtoto.
....ujiandae kwa hukumu ya Mungu maana utakuwa umezini.
.....ujiandae kwenda kupima UKIMWI maana hujui anaozini nao kama ni wazima
......haya kazi kwako.
 
Bora muachane sasa maana mkishaunganishwa na mtoto na mtu usiyempenda tena ni matatizo matupu siku za mbeleni
 
Aksante kwa taarifa mkuu........

ila sijui hiyo mimba utampaje wakati wanazijua physiology......
 
Unaweza ujamgonga mimba na akaitoa vile vile halafu unajiweka mwenyewe kwenye hatari ya kuambukizwa virus

Halafu kumtoa mbali isiwe tiketi ya kumsimanga hadi huku jf

Heri uzungumze nae na mfikie muafaka

Mwanaume wa ukweli hapangi kufanya hayo ulopanga
 
Utajuaje km mimba ni yako na umesema ana midume ya kutosha....sema tunampa mimba alaf m nasepa zangu
 
Wadau mpo poa?nisiwachoshe ipo hivi,nimeishi mbali na demu kwa muda mrefu sn,nimemtoa mbali kimaisha hadi kufanikiwa kwake.

Leo ss nimefika anapoishi hakika nimegundua kitu.Ana mtu tena si mmoja,hili ni asilimia 100 halina ubishi na ushahidi nimeupata tayari.

Maamuzi:Namgonga mimba then atajijua mbele ya safari.Wamezoea hawa watoto,nitakuja wapa mrejesho.

NB,Sitaki ushauri nawapa taarifa tu.
Taamuuuuu
 
Mm nakushauri Achana nae Mungu atakulipia! Kwani unawezakujipatia matatizo mengine usiyoyategemea.
 
Kwa jinsi hali ilivo u right!! But ukimwi nao!
 
Wadau mpo poa?nisiwachoshe ipo hivi,nimeishi mbali na demu kwa muda mrefu sn,nimemtoa mbali kimaisha hadi kufanikiwa kwake.

Leo ss nimefika anapoishi hakika nimegundua kitu.Ana mtu tena si mmoja,hili ni asilimia 100 halina ubishi na ushahidi nimeupata tayari.

Maamuzi:Namgonga mimba then atajijua mbele ya safari.Wamezoea hawa watoto,nitakuja wapa mrejesho.

NB,Sitaki ushauri nawapa taarifa tu.

Kumpa mimba so suluhisho ndg,
Utasababisha matatizo mengine kwa kiumbe ambaye hana hatia...
mfano;mimba kutolewa,mtoto azaliwe kisha atupwe...
au awe mtoto wa mtaani..
km vp mpotezee tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom