dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kusema kweli mimi sijamwela Jk na baraza lake la wezi, majambazi na wezi na wahuni.
Hivi wameiba mali ya chama au serikali? Wameiba mali ya walipa kodi au ya CCM.
Iweje chama kiwe kama muhimilu wa Dola?
Tabia ya kuweka maslai ya chama badala ya nchi ni upumbavu.
Ninaamini ukiwa mchafu lazima ndo haya tunayoyaona JK ni mwizi namba moja amini kweli nasema.
Watanzania tuamke tuchukue nchi yetu
Hivi wameiba mali ya chama au serikali? Wameiba mali ya walipa kodi au ya CCM.
Iweje chama kiwe kama muhimilu wa Dola?
Tabia ya kuweka maslai ya chama badala ya nchi ni upumbavu.
Ninaamini ukiwa mchafu lazima ndo haya tunayoyaona JK ni mwizi namba moja amini kweli nasema.
Watanzania tuamke tuchukue nchi yetu