Maamuzi ya CHADEMA Asilia


Peleka unafiki huko gamba ww huna adabu
 


ila sasa wenye kulete mfumo mbovu si wameshaondoka CCM jamani!!! CCM si imebaki safi au??
hao wapinzani hawajawahi kushika dola ndio maana hatuzijui tabia zao......ni sawa na ukiwa kwenye ndoa unaona mume nakutesa ila ukipata mwingine unajuta.....
 
tulikuja cdm kwa kuchukizwa na ccm
yaan hayta huyo mbowe aondoke...poa tu sisi tunataka mabadiliko
 
Msimamo wa chadema asilia ni huo huo wala hakuna atakaye rudi nyuma. Twende na Dr. Slaa twende na Magufuli.
kila siku unapost ccm leo cdm asilia
msimamo wa cdm asilia sjui cdm modern ni kwamba tunataka katiba mpya, tunataka mabadiliko

huyo slaa kama anadhan anauzito aje kabisa majukwaani ampigie maguful kampeni
slaa nje ya cdm ni mwepesi kuliko zitto
 

Iko mifano yaweza kuonekana mibaya lakini ndio uhalisia wenyewe. Kawaida mbwa hujiona yeye ndio mmiliki wa mfugaji wake hata kufikia kumbwekea!!! Hili halimfanyi mwenye mbwa nae kumbwekea mbwa, humpa makombo na kumtia kwenye kijumba!! pindi mbwa huyo akatapo mnyororo hutoroka na kuzagaa mitaani ambako hukutana na mbwakoko wazoefu... hapo naye huwa koko na kupoteza thamani yake ya awali!!!

Kipofu anapoongozwa na mbwa kipofu ni nini matarajio? wanaposema watajenga chama baada ya uchaguzi na kujiita Chadema asilia mzee Mtei na Ndesa wasemeje? waacheni vipofu wasiohitaji kufikiri waongozwe na mbwa kipofu.

Mabadiliko yapo ndani ya mioyo ya watanzania sasa... wasipoyaoga watayanywa
 

jiandaeni kuitwa wasaliti
 
Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.

Kama huu ndio msimamo wako wa kuamini katika mtu na sio misingi ya Chama,basi utakuwa unayumba sana siku zote.
 

Mtapambana wala hamtashinda,LOWASSA ndio habari ya mujini.Tutapiga kura na kuzilinda.Hakuna goli la mkono!!Najua upo peke yako na IT wenzako wa Masaki.
 

Hata mm nampa maguful
kura
Huu n upuuz kutuletea li gonjwa kwenye chama chetu
 
Chadema asili gmesajiriwa lini.slaa ndiye kamkaribisha lowassa kwa tshirikiano na gwajima akakimbia mwenyewe hili kulinda penzi lake na mushumbusi.
 

Siasa za majitaka peleka lumumba waliko waimba mipasho na umbea wa kila rangi. Chadema asilimia au CCM asilia? Ni UWENDAWAZIMU kuiamini kwamba kila MTZ ni MWENDAWAZIMU. Adui yetu mkubwa ni MKOLONI MWEUSI FISIEM. Kama unapenda Slaa mfuate nyumbani kwake mkanywe nae coffee.
 
Hata mm nampa maguful
kura
Huu n upuuz kutuletea li gonjwa kwenye chama chetu

Lowassa ni balaa. Lumumba vijana wanajitekenya na kucheka wenyewe. Adui yetu mkubwa ni MKOLONI MWEUSI FISIEM. Jiandaeni kisaikolojia hata angesimama Saddam wa Libya mwaka huu angepewa kura za ndio ili kuiangusha Ccm.
 

Namshukuru sana Lowassa kuweka kipaumbele cha kwanza hadi cha tatu kuwa ni elimu tena elimu bora kwa watoto wote wa kitanzania. Unajua ubora wa elimu ya watoto wetu ilianza kushushwa makusudi kabisa na mfumo wa ccm toka miaka ya katikakati ya 1975 hadi leo kwa kuwaruhusu mawaziri wa elimu kila mmoja kuingilia mitaala waliyoikuta na kuweka ya kwao kulingana na maagizo ya chama chao. Wakati elimu ikidhoofishwa kwa watoto wetu wao watoto wao waliwasomesha ulaya na mashule ya kimataifa ili kuja kurithi nafasi zao kuongoza nchi. Vijana wetu wakaingiziwa madawa ya kulevya na viroba kuharibu tu ubongo wao kwa kuwa hawajaelimika. Shule kukosa madawati, vitabu kwa wanafunzi hadi vya waalimu kufundishia na vifaa vingine hadi maabara. Walimu kukosa mishahara na nyumba za kuishi n.k. Sasa ukishakuwa na taifa la watu wasio na elimu iliyo sahihi hawawezi kuchambua mambo sawa sawa kwa manufaa yao na taifa lao. Hawawezi kulima kilimo chenye tija kwa kukosa elimu stahiki na inayoweza kuchanganua mambo na ni rahisi kufuata mkumbo na kuwatumia kirahisi kwa malengo yako kuliko wale walioelimika kwani wao pamoja na elimu pia wana uwezo wa kuchambua na sio rahisi kuburuzwa. Sasa tukiwarudia hawa wanaojiita chadema asilia wao wamekosa uwezo tu wa kuchambua masuala na wala hawataki kujikumbusha malengo ya muungano wa vyama uliozaa ukawa kuwa pamoja na kutetea katiba nzuri ya wananchi bunge la katiba lakini ni pamoja na kuiondoa ccm madarakani kutokana na mfumo wao m-bovu wa uongozi wa nchi. Sasa endapo mchumba wa Slaa angeridhia Slaa abaki chadema na tayari Slaa alisharidhia Lowasa kusimama kama mgombea uraisi wa ukawa haya mapovu yangewatoka? Sasa kweli mnategemea kwa mfumo waliojirithisha ccm baada ya kwenda Zanzibar na kulizika azimio la Arusha huko na kujirithisha mfumo wa kukumbatia mafisadi, wezi wa mali asili za nchi, kuwaambia wakwepa kodi wakubwa lipeni kidogo kidogo na hamtashtakiwa, kuogopa kuwapeleka mahakamani waagizaji wa madawa ya kulevya eti nchi itatetereka hata kama mtampa Magufuli kura zenu mnategemea akayatekelezee ccm hayo anayo waaminisha majukwaani? Kwa taarifa yenu aliye ndani ya ccm hawezi kubadilisha au kutekeleza matakwa yake yaliyo kinyume na sera yao anaeweza ni aliye nje ya ccm ambae kwa sasa ni Lowassa wa chadema. Wananchi fanyeni kinyume muendelee kutaabika kwa miaka kumi ijayo. MAGEUZI UKAWA. UKAWA KAGEUZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…