JF,
Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.
Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.
Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.
KURA ZETU KWA MAGUFULI.
CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI
Cc. Dr. Slaa
wote wenye fikra kama zako hamkujua maana ya mabadiliko watanzania tunayoyataka.mabadiliko yanayotakiwa hapa si ya watu bali ni ya mfumo.
mfumo mbovu wa ccm ndo umezalisha richmond, eppa, escrow. hivyo hata aingie nani,katika mfumo mbovu wa ccm hakuna atakalo fanya.
jitambue mambo unayoshabikia usipelekwe na hisia tumia fikra kijana.magufuli na lowasa wanamaana kama mifumo watakayotumia itakuwa ni imara
tulikuja cdm kwa kuchukizwa na ccmWe unashabikia treni lipi spidi kali sana kulekea shimoni. Yaani unawahi kujizika mwenyewe.
Sio mimi ninae gawa wanachama ila hayo ni maamuzi ya Chadema asilia wote na ipo hivyo. Maadam tumedharauliwa kwa kuletewa kundi la mafisadi na Dr Slaa kuonekana hana maana tena kwa nguvu zake zote alizozitoa na hata kupata kilema kwa ajili ya chama chetu hatuna budi na sisi kuonyesha msimamo wetu.
Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.
kila siku unapost ccm leo cdm asiliaMsimamo wa chadema asilia ni huo huo wala hakuna atakaye rudi nyuma. Twende na Dr. Slaa twende na Magufuli.
Pengine kuna watu/viongozi ndani ya UKAWA/Chadema wameona kwa hili au mengine wameshakosea. lakini wamejiuliza ni lipi solution ya haya?je ni kuanzisha chama chao?kuhamia CCM?kuitisha press conference na Kujuta/kuponda maamuzi uliyoshiriki kama LIPUMBA/SLAA?..Jibu HAPANA kwa sababu yote hayo ni kuiongezea nguvu CCM ambayo hata wao(wasaliti) wameona haifai zaidi.so me nadhani wapinzani wakweli sio wale wanaogeuka katikati ya safari kwa kosa moja,huwezi kujipunguzia kura uchaguzi mkuu na kusema ujenge chama baada ya uchaguzi.
jf,
kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi chadema, na kumfanye kamanda wetu dr. Slaa kutimua.
Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu dr slaa, kumpa kura zetu zote dr. John pombe magufuli ili sasa chadema wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.
Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.
Kura zetu kwa magufuli.
Chadema asilia wote tusimamie hili
cc. Dr. Slaa
Peleka unafiki huko gamba ww huna adabu
We mbwa jibu kwa hoja
Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.
JF,
Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr. Slaa kutimua.
Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.
Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.
KURA ZETU KWA MAGUFULI.
CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI
Cc. Dr. Slaa
JF,
Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr. Slaa kutimua.
Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.
Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.
KURA ZETU KWA MAGUFULI.
CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI
Cc. Dr. Slaa
We unashabikia treni lipi spidi kali sana kulekea shimoni. Yaani unawahi kujizika mwenyewe.
Sio mimi ninae gawa wanachama ila hayo ni maamuzi ya Chadema asilia wote na ipo hivyo. Maadam tumedharauliwa kwa kuletewa kundi la mafisadi na Dr Slaa kuonekana hana maana tena kwa nguvu zake zote alizozitoa na hata kupata kilema kwa ajili ya chama chetu hatuna budi na sisi kuonyesha msimamo wetu.
Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.
Hata mm nampa maguful
kura
Huu n upuuz kutuletea li gonjwa kwenye chama chetu
wote wenye fikra kama zako hamkujua maana ya mabadiliko watanzania tunayoyataka.mabadiliko yanayotakiwa hapa si ya watu bali ni ya mfumo.
mfumo mbovu wa ccm ndo umezalisha richmond, eppa, escrow. hivyo hata aingie nani,katika mfumo mbovu wa ccm hakuna atakalo fanya.
jitambue mambo unayoshabikia usipelekwe na hisia tumia fikra kijana.magufuli na lowasa wanamaana kama mifumo watakayotumia itakuwa ni imara