Maamuzi ya CHADEMA Asilia

Maamuzi ya CHADEMA Asilia

CCM bana kama watoto na ka mbinu kao haka kuwavalisha watu t-shirt za CDM na kusema ni CHADEMA asili,.

Endeleeni kuwavalisha wafuasi wenu na wanachama t-shirt za CDM wakigoma kuvua na wakafanya kweli msije kulaumu.
 
We unashabikia treni lipi spidi kali sana kulekea shimoni. Yaani unawahi kujizika mwenyewe.

Sio mimi ninae gawa wanachama ila hayo ni maamuzi ya Chadema asilia wote na ipo hivyo. Maadam tumedharauliwa kwa kuletewa kundi la mafisadi na Dr Slaa kuonekana hana maana tena kwa nguvu zake zote alizozitoa na hata kupata kilema kwa ajili ya chama chetu hatuna budi na sisi kuonyesha msimamo wetu.

Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.

Wewe ni gamba tangu ukiwa tumboni mwa mama yako.
 
Wanaoamua mtu kwenda ikulu sio chama ni wananchi. Usidanganywe. Sasa wewe unajua wananchi wangapi ambao watatupigia kura? Unajua? Usiwe kama huwezi kufikiri.-Angalia tafiti mbili tu zilizotoka majuzi zimetuweka kwenye position gani. Au wewe ndio wale wanaosema wamenunuliwa. ?? Kwa mtaji huu hatuwezi endelea kamwe

Unaongelea tafiti zipi? Zile za kipara mzee wa madesa au? Shame on you Ccm anguko lenu Oct.25,ntachinja bila huruma.
 
wote wenye fikra kama zako hamkujua maana ya mabadiliko watanzania tunayoyataka.mabadiliko yanayotakiwa hapa si ya watu bali ni ya mfumo.

mfumo mbovu wa ccm ndo umezalisha richmond, eppa, escrow. hivyo hata aingie nani,katika mfumo mbovu wa ccm hakuna atakalo fanya.

jitambue mambo unayoshabikia usipelekwe na hisia tumia fikra kijana.magufuli na lowasa wanamaana kama mifumo watakayotumia itakuwa ni imara
sio unstumia maneno tu kasuku. kwa neno mfumo una maana gani kama sio unakariri anachosema mbowe. kuchukua makapi ya ccm na nyumbu wao ndio mtabadili mfumo au kutafuta gia ya kutokea? bahati mbaya gear yenyewe ni 'reverse'! teh teh teh.
 
CCM bana kama watoto na ka mbinu kao haka kuwavalisha watu t-shirt za CDM na kusema ni CHADEMA asili,.

Endeleeni kuwavalisha wafuasi wenu na wanachama t-shirt za CDM wakigoma kuvua na wakafanya kweli msije kulaumu.

Hahaaa eti wakigoma kuvua, umenichekesha mkuu.
 
"UKAWA HUU NI MFUMO-WETU AU"
au mfumo wenu ni ule wa kuwakata walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka mnaowataka
au mfumo wenu ni kuwauzia chama wenye hela na kukitawala
au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea Makapi ya CCM
au mfumo wenu ni ule wa sisi kwa sisi wa kugombania majimbo
au mfumo wenu ni ule wa kuwasafisha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni Mafisadi waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafisha.
au mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lkn kesho ukikipata unakisifia, hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani ukawa hamueleweki mmekuwa km mvua za dar" !!!




Let's have a honest debate on this,Dr Slaa ndiye Mwana CHADEMA pekee aliyekuwa na mvuto wa kugombea urais,shida inakuja ktk kupata kura za makundi flani ya kijamii.Mimi na wewe tunajua fika kwamba UKAWA kama wangemsimamisha Dr Slaa kugombea urais wangepata shida sana kumnadi kwa Waislamu kutokana na historia yake ya nyuma ya kuwa padre,kumbuka pia kwamba Dr Slaa hakuwa na uhakika wa kupata kura za Wakristu kwa zaidi ya 50% kwasababu Dr Magufuli naye ni Mkristu na anaungwa mkono na Wakristu wengi hasa Wakatoliki.Je,ni nani mwingine mbali na Dr Slaa aliyekuwa na mvuto wa kugombea urais kupitiwa UKAWA/CHADEMA?
 
kwa nini msimpe bwana Hashim Rugwe au Anna Mgwira Kura zenu,
any way mna kura ngapi, mko wangapi
 
Pengine kuna watu/viongozi ndani ya UKAWA/Chadema wameona kwa hili au mengine wameshakosea. lakini wamejiuliza ni lipi solution ya haya?je ni kuanzisha chama chao?kuhamia CCM?kuitisha press conference na Kujuta/kuponda maamuzi uliyoshiriki kama LIPUMBA/SLAA?..Jibu HAPANA kwa sababu yote hayo ni kuiongezea nguvu CCM ambayo hata wao(wasaliti) wameona haifai zaidi.so me nadhani wapinzani wakweli sio wale wanaogeuka katikati ya safari kwa kosa moja,huwezi kujipunguzia kura uchaguzi mkuu na kusema ujenge chama baada ya uchaguzi.
 
Chadema asili huwa wanajitambua kuliko Chadema Maslahi waliokweda na Lowasa
 
Treni ya mafisadi inaongozwa na LOwassa inaelekea kutoka nje ya reli na kupinduka hali itakayoleta majanga kwao hao wana ukawa.
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa

Mimi mwenyewe ni Chadema asili lakini kwa hili niujinga kuzira kama mtoto.Akiondoka hata Mbowe mimi Bado ni Chadema.
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa

CHADEMA wamenunuliwa kweli walikuja vizur sana sasa atimaye wamepotea
 
Msimamo wa chadema asilia ni huo huo wala hakuna atakaye rudi nyuma. Twende na Dr. Slaa twende na Magufuli.
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa

Mimi ni chadema asili lakini kura yangu kuipeleka ccm sawa sawa na kukubali kuwa shoga siwezi na kataaa katakata bora lowassa mara bilioni 10 kuliko CCM TENA HAPANA NAKATAA KWA JINA LA YESU NAKATAA
 
Chadema asilia nyuma ya keybord na jina fake?
 
Back
Top Bottom