Maamuzi ya CHADEMA Asilia

Maamuzi ya CHADEMA Asilia

Nimekupenda bure mkuu Nyunyu,heshima kwako.
nifah hawa vijana wanaopenda maisha mkubwa wakati hawajafanya kazi yeyote ni tatizo katika nchi hii. Siajabu huyu yumo kwenye kundi alilokuwa analisema Lowassa kuwa ajira kwa vijana ni bomu; naam mmoja wa bomu nu huyu kijana! Ati anajiita Chadema Asilia! Lini Chadema imegawanyika... wanataka kutuaminisha Dr.W.Slaa alipo jiC.C.M alisababisha mpasuko!!!

Daktari aliktuhubiria miaka kadhaa nyuma kuwa adui yetu namba moja ni CCM, ati leo anakuja na siasa uchwara tumuamini!!

Watuache bana, huu ni mwaka wa Machanges tu...
 
Last edited by a moderator:
Unajitekenya na kucheka mwenyewe. Leo fiesta wapi mkuu!
 
wote wenye fikra kama zako hamkujua maana ya mabadiliko watanzania tunayoyataka.mabadiliko yanayotakiwa hapa si ya watu bali ni ya mfumo.mfumo mbovu wa ccm ndo umezalisha richmond,eppa,escrow.hivyo hata aingie nani,katika mfumo mbovu wa ccm hakuna atakalo fanya.jitambue mambo unayoshabikia usipelekwe na hisia tumia fikra kijana.magufuli na lowasa wanamaana kama mifumo watakayotumia itakuwa ni imara
"UKAWA HUU NI MFUMO-WETU AU"
au mfumo wenu ni ule wa kuwakata walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka mnaowataka
au mfumo wenu ni kuwauzia chama wenye hela na kukitawala
au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea Makapi ya CCM
au mfumo wenu ni ule wa sisi kwa sisi wa kugombania majimbo
au mfumo wenu ni ule wa kuwasafisha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni Mafisadi waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafisha.
au mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lkn kesho ukikipata unakisifia, hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani ukawa hamueleweki mmekuwa km mvua za dar" !!!
 
We unashabikia treni lipi spidi kali sana kulekea shimoni. Yaani unawahi kujizika mwenyewe. Sio mimi ninae gawa wanachama ila hayo ni maamuzi ya Chadema asilia wote na ipo hivyo. Maadam tumedharauliwa kwa kuletewa kundi la mafisadi na Dr Slaa kuonekana hana maana tena kwa nguvu zake zote alizozitoa na hata kupata kilema kwa ajili ya chama chetu hatuna budi na sisi kuonyesha msimamo wetu.
Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu.
Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.

Kaanzisheni chama.chenu muone kama mtapata watu.

Naona uko Lumumba na umepewa jukumu la kujifanya cdm unayemtetea Slaa, kwa bahati mbaya hela yenu Slaa kala na.bado hamkupata matokeo chanya.

Jiandaeni tu kuingiza nchi machafukoni kwa kulazimisha kubaki madarakani.
 
Ukawa tumeshasemwa sana na ukweli tunaujua ila tunauweka mfukoni. Tuna tamaa tu ya kukimbikia ikulu wakati sisi wenyewe hatujajipanga.

Hatupo tayari tumekumbwa tu na upepo na tunajaribu kulazimisha mambo kwa tamaa zetu. Uongozi wa nchi hautaki watu wa namna hii.

Leo hii Dr Slaa ma Prof Lipumba wangekuwa ma tamaa wangekuwa bado wapo tuu wakisubiri madaraka na vyeo lukuki. Hawa ndio mifano ya viongozi bora na sio hawa makamanda wetu kina Mbowe, Lissu na wengineo.

Wachumia tumbo tuu hawa. Wanataka kufanya biashara kwenye migongo ya watu. Ukweli ni ukweli hatuwezi oneana aibu kwa sababu ni masuala ya kitaifa
 
"UKAWA HUU NI MFUMO-WETU AU"
au mfumo wenu ni ule wa kuwakata walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka mnaowataka
au mfumo wenu ni kuwauzia chama wenye hela na kukitawala
au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea Makapi ya CCM
au mfumo wenu ni ule wa sisi kwa sisi wa kugombania majimbo
au mfumo wenu ni ule wa kuwasafisha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni Mafisadi waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafisha.
au mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lkn kesho ukikipata unakisifia, hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani ukawa hamueleweki mmekuwa km mvua za dar" !!!

Heri mwenye mfumo maana anajua atafanye nini kesho ili aboreshe kuliko UKAWA wasio na mfumo kabisaa na ambao hata ule waliokuwa nao wameukana. Mhunzi wasiwasi hukana zana zake mwenyewe na hawa ni UKAWA
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa KUMPA KURA ZETU ZOOTE DR JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa chadema wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr Slaa

Hivi wewe kama nani chadema? We umeijua juzi chadema tulioanzisha chadema tumekaa kimya unabwabwaja tuu hapa. Kwanza wewe ni pandikizi
 
Kaanzisheni chama.chenu muone kama mtapata watu. Naona uko Lumumba na umepewa jukumu la kujifanya cdm unayemtetea Slaa, kwa bahati mbaya hela yenu Slaa kala na.bado hamkupata matokeo chanya. Jiandaeni tu kuingiza nchi machafukoni kwa kulazimisha kubaki madarakani.[/QUOTE
Wanaoamua mtu kwenda ikulu sio chama ni wananchi. Usidanganywe. Sasa wewe unajua wananchi wangapi ambao watatupigia kura? Unajua? Usiwe kama huwezi kufikiri.
Angalia tafiti mbili tu zilizotoka majuzi zimetuweka kwenye position gani. Au wewe ndio wale wanaosema wamenunuliwa. ?? Kwa mtaji huu hatuwezi endelea kamwe
 
Kaanzisheni chama.chenu muone kama mtapata watu. Naona uko Lumumba na umepewa jukumu la kujifanya cdm unayemtetea Slaa, kwa bahati mbaya hela yenu Slaa kala na.bado hamkupata matokeo chanya. Jiandaeni tu kuingiza nchi machafukoni kwa kulazimisha kubaki madarakani.

Wanaoamua mtu kwenda ikulu sio chama ni wananchi. Usidanganywe. Sasa wewe unajua wananchi wangapi ambao watatupigia kura? Unajua? Usiwe kama huwezi kufikiri.-Angalia tafiti mbili tu zilizotoka majuzi zimetuweka kwenye position gani. Au wewe ndio wale wanaosema wamenunuliwa. ?? Kwa mtaji huu hatuwezi endelea kamwe
 
kweli mama yako atakuwa anasikitika kwann alikuzaa ww!

Tangu lini Slaa akawa kamanda? Naye ana matatizo, uwe na ushahidi na kitu zaidi ya miaka minane ukae kimyaaaaa, mpinzani gani huyo? au alikuwa na lake jambo?
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa
Acha kujitekenya na kucheka. Hakuna chadema asilia. Slaa sio chadema tena. Bye bye CCM.
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa

Haya ni maigizo au vichekesho? Hakuna uhalisia hata kgdo.
 
Hivi wewe kama nani chadema? We umeijua juzi chadema tulioanzisha chadema tumekaa kimya unabwabwaja tuu hapa. Kwanza wewe ni pandikizi
Inawezekana mimi nimeingia huko kabla yako. Nadhani wewe ndio kijana wa juzi. Sisi ndio tuna uchungu tumeharibiwa chama chetu hivi hivi kwa usanii wa dili. Tumeshatoa mapesa yetu chungu mzima ya michango kwa ajili ya chama, leo hii tumesalitiwa, kwelii? ?? Hatuwezi kaa kimya. Tunajua tulipo toka na hatuwezi katishwa hivihivi. Ngoja uchaguzi upite uone tutafanya nini
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa

Eti CHADEMA asilia!! Mtko yako.
 
JF,

Kutokana na wimbi kubwa ambalo lilitukumba na hasa baada ya Mbowe na wenzake kuamua kukaribisha mafisadi CHADEMA, na kumfanye kamanda wetu Dr Slaa kutimua.

Tumeamua kwa kauli moja wote na hasa baada ya hotuba nyeti ya kamanda wetu Dr Slaa, KUMPA KURA ZETU ZOTE DR. JOHN POMBE MAGUFULI ili sasa CHADEMA wote tujifunze kutokana na makosa makubwa tuliyofanya kwa utashi binafsi tu bila hata ya kushirikisha wanachama.

Tuna uhakika wapo wabunge wengi wako pamoja nasi ila wapo kimya kwa usalama wao.

KURA ZETU KWA MAGUFULI.

CHADEMA ASILIA WOTE TUSIMAMIE HILI

Cc. Dr. Slaa
JF,

Tumekuwa tunadanganywa na wagombea wetu hasa Lowassa na Sumaye eti kwa zaidi ya miaka 50 CCM haijafanya kitu. Tumekuwa na maswali meeengi ya kujiuliza.

1). Hivi hata upanuaji wa matumizi ya mitandao kama hivi tunavyowasiliana si ni kazi yaCCM. Mbona hatuwapongezi.

2). Hivi Lowasa ma Sumaye si nao walikuwa mawaziri wakuu kwa jumla ya miaka 13. Ina maana na wao hawakufanya chochote ?? Ilikuwa total workdone zero ?

Na wanaendelea kula kodi za wananchi bila aibu mpaka sasa.!!

Ni lazima tutafakari sana nchi yetu hii.
Lazima akili yako inahitilafu!
 
Tangu lini Babeli akawa Chadema? Aendelee kujitekenya na kujichekesha mwenyewe na IT wenzake wa Lumumba na Masaki!
 
Kachukue buku zako lupumba,Mabadiliko kwanza hayo mengine baadae
 
We unashabikia treni lipi spidi kali sana kulekea shimoni. Yaani unawahi kujizika mwenyewe.

Sio mimi ninae gawa wanachama ila hayo ni maamuzi ya Chadema asilia wote na ipo hivyo. Maadam tumedharauliwa kwa kuletewa kundi la mafisadi na Dr Slaa kuonekana hana maana tena kwa nguvu zake zote alizozitoa na hata kupata kilema kwa ajili ya chama chetu hatuna budi na sisi kuonyesha msimamo wetu.

Wengi wetu tulikuja chadema kwa kuvutiwa na Dr Slaaa na misimamo yake na wala sio Mbowe wala Lissu. Sasa ameondoka ni lazima tuwe nae bega kwa bega popote pale.

Kama unavutiwa na Dr. Slaa na una mahaba ya kweli juu yake ni vyema umshauri aripoti matatizo yanayomsibu sasa kwenye 'KITENGO CHA JINSIA, JESHI LA POLISI TANZANIA' kwani ndiyo kitengo pekee kinachoweza kumsaidia kwa sasa vinginevyo akubali matokeo na kuendelea kuvumilia ili DOZI imwingie sawasawa.
 
Chadema ni Chadema tu, nadhani wewe utakuwa kile Chama cha Wasaliti tu.
 
Back
Top Bottom