Usinijibu kwa ukali me sio afisa wa brela ubishi wako hautabadilisha maamuzi ya yao,acha ujinga badili huyo mnyama.Unafikiri ni mimi tu ndo natumia huo mnyama, mbona kuna kampuni nyingi zinatumia
Tatizo huyo mnyama kaiga mkao wake, angemweka kichwa tu bila miguu uone kama wangegoma.Mkuu intellectual property inasema huyo mnyama si mali ya mtuu ni universal
Huwezi sema mlima Kilimanjaro ni wakwako while ni universal
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Duh 120!? Seriously?Mimi walikataa majina yangu niliyoyachakata mwenyewe 120.
😳😳Mimi walikataa majina yangu niliyoyachakata mwenyewe 120.
Kila nilipokuwa naenda nilikuwa naenda na majina si chini ya 10 na yote yanakataliwa. Na nilienda zaidi ya wiki 3 piga mahesabuDuh 120!? Seriously?
Lakini akumbuke kuwa kuna kampuni ya DIADORA piaKwanini watanzania tunapenda logo zenye mavitu mengi Sana. Kwanini usitumie Hilo jina DORA kulifanya iwe logo.
Angalia logo za kisasa Kama
Nike
Apple
Samsung
Nokia
Adidas
Tiktok
Tesla
N.k
Kichwa tu bila miguu ili afanane na logo ya sigara Portsman! Naona unazidi kumtumbukiza shimoni.Tatizo huyo mnyama kaiga mkao wake, angemweka kichwa tu bila miguu uone kama wangegoma.
Kwanini watanzania tunapenda logo zenye mavitu mengi Sana. Kwanini usitumie Hilo jina DORA kulifanya iwe logo.
Angalia logo za kisasa Kama
Nike
Apple
Samsung
Nokia
Adidas
Tiktok
Tesla
N.k