Maamuzi magumu

Maamuzi magumu

Jack unaitwa huku vipi tayari tulete nepi??
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nkwambie mwanaume kama hakutaki usimlazimishe utajuta maisha yako yote hata kama atakuoa ndoa ni upendo amank na furaha usije ukujikuta baadae unajijutia wewe si wa kwanza kuzaa nje na wala s wa mwisho
wanawake tuna tabia ya kujipa moyo kwamba labda atabadilika km kashindwa kukuthamini kipindi hiki upo nae mjamzito huyo tena bas usimhesabie huyo live your life my dear

Kama hana kazi wala hana kipato na home kwao baada ya kuwa mjamzito wanamuona kavu ataishi vipi?

Uhusiano wa tia maji tia maji mgumu aana
 
Back
Top Bottom