Maamuzi magumu

Maamuzi magumu

Ngoja nkwambie mwanaume kama hakutaki usimlazimishe utajuta maisha yako yote hata kama atakuoa ndoa ni upendo amank na furaha usije ukujikuta baadae unajijutia wewe si wa kwanza kuzaa nje na wala s wa mwisho
wanawake tuna tabia ya kujipa moyo kwamba labda atabadilika km kashindwa kukuthamini kipindi hiki upo nae mjamzito huyo tena bas usimhesabie huyo live your life my dear

You have said it all my dear

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
pole sana jack 1 nakumbuka sana story yako ya kuanzia mwanza hadi arusha na jamaa kukimbia

sasa mpendwa washirikishe wazazi wke suala la kuishi nae kimumngu mugu ni hatari kwa maana tangia mwanzoni ameshaonesha hakupendi.na hali yak ndo hiyo
mshirkishe MUNGU akujaie amani hasa kwenye hiki kipindi cha ujauzito.
usimlazimihe mtu kukupenda kwa maana atakutesa siku zote...sio sahhi saana wewe kumlazimisha muishi wote while hakupendi

waanaume mengine wana roho mbaya mpendwa ataweza hta kukudhuru wewe na mimba yako.
 
Pole my dia ni mapito tu hayo, mbele ipo njia utaiona tu jivike nguvu,
Uamuzi uliochukua sio mzuri sana sababu hakuwa tayari uishi nae, usiishie hapo tazama kule unakikwenda.
 
Ngoja nkwambie mwanaume kama hakutaki usimlazimishe utajuta maisha yako yote hata kama atakuoa ndoa ni upendo amank na furaha usije ukujikuta baadae unajijutia wewe si wa kwanza kuzaa nje na wala s wa mwisho
wanawake tuna tabia ya kujipa moyo kwamba labda atabadilika km kashindwa kukuthamini kipindi hiki upo nae mjamzito huyo tena bas usimhesabie huyo live your life my dear

najua ndugu nimeamua hv mpaka kipindi hiki kipite badae nitaendelea na maisha yangu najua kabisa hana mapenzi na mimi
 
polee mtoto mzur you can be fny and try to show areal love to his patiner
 
akihama tena unamfuata....pole...tunajifunza kutokana na makosa
 
mshukuru Mungu km umempata,ila msiendelee kuzini, fungeni ndoa kabisa hata kimya kimya tu
 
Achana nae lea mimba yako umwombe mungu ujifungue salama ulee mwanao na atakua 2.mtu kama hakutaki ucng'ang'anie kumfata coz hashindwi kuendelea kukuumiza hata kukuua.
 
Back
Top Bottom