Maamuzi magumu

jack 1

Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
61
Reaction score
63
Za siku nyingi wapendwa?

Nadhan baadhi yenu mnakumbuka nilileta uzi humu kuwa nina ujauzito na jamaa haeleweki nyumbani ndo hivyo tena.

Namshukuru Mungu ujauzito wangu wa miez 6 unaendelea vizuri, baada ya jamaa kuhama alipokuwa anakaa na kubadilisha namba nikabahatika kukutana na rafiki yake wa karibu akanipa direction nzima alipohamia.

Kwakuwa sikua na mbele wala nyuma na nyumbani ndio hivyo nikaamua kumfata alipo bila yeye kujua aliponiona alishangaa ila hakusema chochote.

Wapendwa nimekubari yote kwa kipindi hiki mpaka hapo nitakapojifungua na kukaza nitaendelea na maisha yangu ndo hivyo tunaishi kwa neema za Mungu tu.
 
Pole sana Jack,


Just like the old days
 
hilo ndilo tatzo la mimba zisizo tarajiwa
 
Hivi nyie hao magube gube mnayatoa wapi halafu binti mkubwa unapigwa mimba au ulimtegeshea.
 
Ni vizuri ukawahusicha wazazi ili atoe pia msimamo wake.
 
duuh! Mungu akutetee sana, inauma sana bt mwombe Mungu jack usjechukua maamzi magumu, nakupenda.
 

Ngoja nkwambie mwanaume kama hakutaki usimlazimishe utajuta maisha yako yote hata kama atakuoa ndoa ni upendo amank na furaha usije ukujikuta baadae unajijutia wewe si wa kwanza kuzaa nje na wala s wa mwisho
wanawake tuna tabia ya kujipa moyo kwamba labda atabadilika km kashindwa kukuthamini kipindi hiki upo nae mjamzito huyo tena bas usimhesabie huyo live your life my dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…