Za siku nyingi wapendwa?
Nadhan baadhi yenu mnakumbuka nilileta uzi humu kuwa nina ujauzito na jamaa haeleweki nyumbani ndo hivyo tena.
Namshukuru Mungu ujauzito wangu wa miez 6 unaendelea vizuri, baada ya jamaa kuhama alipokuwa anakaa na kubadilisha namba nikabahatika kukutana na rafiki yake wa karibu akanipa direction nzima alipohamia.
Kwakuwa sikua na mbele wala nyuma na nyumbani ndio hivyo nikaamua kumfata alipo bila yeye kujua aliponiona alishangaa ila hakusema chochote.
Wapendwa nimekubari yote kwa kipindi hiki mpaka hapo nitakapojifungua na kukaza nitaendelea na maisha yangu ndo hivyo tunaishi kwa neema za Mungu tu.
Nadhan baadhi yenu mnakumbuka nilileta uzi humu kuwa nina ujauzito na jamaa haeleweki nyumbani ndo hivyo tena.
Namshukuru Mungu ujauzito wangu wa miez 6 unaendelea vizuri, baada ya jamaa kuhama alipokuwa anakaa na kubadilisha namba nikabahatika kukutana na rafiki yake wa karibu akanipa direction nzima alipohamia.
Kwakuwa sikua na mbele wala nyuma na nyumbani ndio hivyo nikaamua kumfata alipo bila yeye kujua aliponiona alishangaa ila hakusema chochote.
Wapendwa nimekubari yote kwa kipindi hiki mpaka hapo nitakapojifungua na kukaza nitaendelea na maisha yangu ndo hivyo tunaishi kwa neema za Mungu tu.