DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Mkuu, kwa ufaulu huu atasoma A-level huku anajiandaa kurudia mitihani ili awe na C walau 3. Aongee naye ili mtoto aseme anapenda asomee niniHKL/HGL/HGE (ila economics na geography ina hesabu kali kali) yapasa kujiridhisha na kujinoa kwa tuition za hapa na pale. maaana mengine ya kibabe kama pcm, pcb, pgm ni moto mbaya kwa viwango hivyo. **huyo ni muhali kusailiwa form v moja kwa mojam itambidi apoteze mwaka mmoja kwanza kujifua arekebishe D mbili lau zipande kupata C au B au asome kidato cha v wakati huohuo akisoma marudio ya csee. sikushauri kumpaisha kidato cha tano hata kwa mlango wa nyuma. shule nyingi zitampokea kuongeza mapato, utasaga pesa kichwa hakitakuwa katika nafasi nzuri ya ushindani. kila la heri