Hotel management,Chuo cha zayoni kile wanachotangazaga sana ITVHabari wana JF,
Msaada, binti mwenye matokea haya asome masomo gani?
CIV - 'D'
HIST - 'D'
GEO - 'D'
KISW - 'D'
ENGL - 'C'
BIO - 'D'
B/MATH - 'D'
COMM - 'D'
B/KEEPING - 'C'
Ukinipa na Contacts za Shule/Chuoi sio mbaya pia.
Four ya 26 Kiongozi.Kwani hiyo ndo three au four ya ngap mkuu
Thanks Kiongozi Survival , nshukuru kwa muongozo wako.Mpeleke IFM akasome Certificate ni Accoutant
Ili kutokumpotezea muda na ku-save resources , hiyo option ya Chuo ndio itakuwa muafaka.Nakushukuru kwa Muongozo wako kiongozi.Form five haiwezekan hana c tatu,mpeleke certificate au arisiti(kazi kubwa kweli)
HKL/HGL/HGE (ila economics na geography ina hesabu kali kali) yapasa kujiridhisha na kujinoa kwa tuition za hapa na pale. maaana mengine ya kibabe kama pcm, pcb, pgm ni moto mbaya kwa viwango hivyo. **huyo ni muhali kusailiwa form v moja kwa mojam itambidi apoteze mwaka mmoja kwanza kujifua arekebishe D mbili lau zipande kupata C au B au asome kidato cha v wakati huohuo akisoma marudio ya csee. sikushauri kumpaisha kidato cha tano hata kwa mlango wa nyuma. shule nyingi zitampokea kuongeza mapato, utasaga pesa kichwa hakitakuwa katika nafasi nzuri ya ushindani. kila la heri
Ntajribu kuongea naye ili aweze kunipa mawazo yake. Thank you very Much KiongoziHKL/HGL/HGE (ila economics na geography ina hesabu kali kali) yapasa kujiridhisha na kujinoa kwa tuition za hapa na pale. maaana mengine ya kibabe kama pcm, pcb, pgm ni moto mbaya kwa viwango hivyo. **huyo ni muhali kusailiwa form v moja kwa mojam itambidi apoteze mwaka mmoja kwanza kujifua arekebishe D mbili lau zipande kupata C au B au asome kidato cha v wakati huohuo akisoma marudio ya csee. sikushauri kumpaisha kidato cha tano hata kwa mlango wa nyuma. shule nyingi zitampokea kuongeza mapato, utasaga pesa kichwa hakitakuwa katika nafasi nzuri ya ushindani. kila la heri
Noted Kiongozi, ntamwambia aende TIA Arusha akaombe nafasi muda ukifika.Aende cheti, kurisiti atazeekea home?
Thanks kiongozi kwa ushauri. Ntacheki nae, ili aweze kunipa mwongozo wake. Wengine wameshari kama inavyoonekana hapa Chini.Chuo pale T.I.A au cbe kulingana na masomo aliyochagua shule, ila msikilize na yeye pengine angependa kurudi form two mkuu!
Aende cheti, kurisiti atazeekea home?
Thanks Noted. Anataka kufuata Mkondo wa Babake nini huyu. Nilikuwa CBE DSM mwaka 1994-7CBE ndo panafaa
Noted. tatizo la procurement kujiajiri mwenyewe ni tatizo. Hata hivyo thanks kwa ushauri wako. Ntaongea nae.Nenda CBE mwanza ukaxome procument
Anaweza kwenda chuo cha Sheria Lushoto?Aende cheti, kurisiti atazeekea home?
Commerce ana DKafanya b/keeping Halafu kakimbia commerce